Kinana awaonya makatibu wa wilaya
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amewataka wenyeviti na makatibu wa chama hicho ngazi ya wilaya, kutenda haki kwa wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...
10 years ago
Habarileo21 Mar
Waziri awaonya wakuu wa wilaya wasiowajibika
SERIKALI imesema haitasita kumwajibisha mkuu wa wilaya ambaye atashindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwa na imani na Serikali yao.
10 years ago
StarTV17 Oct
CCM yatefanya uteuzi wa makatibu wa Wilaya 27.
Na Blaya Moses, Dodoma.
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi ccm imeendelea na kikao chake mjini dodoma kwa kuwateua makatibu wa wilaya ishirinini na saba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wengine kufariki dunia na kumaliza muda wao wa utumishi ndani ya chama
Aidha kikao hicho pia kimejadili namna chama hicho kitakavyojipanga ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi katika uchaguzi wa seriakli za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
27 wateuliwa kuwa makatibu wa CCM wilaya
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s72-c/3.jpg)
27 WATEULIWA KUWA MAKATIBU WAPYA WA CCM WILAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yH5rTfyjFA8/Va-A_XtUkII/AAAAAAAHrA0/Vdfh-sdz7hg/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s72-c/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
DKT. BASHIRU ATOA ONYO KWA MAKATIBU WA CCM WA WILAYA NA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s640/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji wa Mikoa na Wilaya kutotilia mkazo maagizo hayo yanayolenga kuwajali na kuwaweka karibu mabalozi wa mashina ambao ndio viungo muhimu na wanafanya kazi kubwa ya kukiletea ushindi Chama Cha...
10 years ago
MichuziMAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA