MERIDIANBET INAWAJIBIKA KWA JAMII: Afya na burudani vinaenda bega kwa bega!
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s72-c/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
KAMPUNI inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika.
Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu.
Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga.
Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Rojo aumia bega mazoezini
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Rojo afyatuka bega mazoezini
MANCHESTER, ENGLAND
KLABU ya Manchester United imepata pigo baada ya beki wake Marcos Rojo kufyatuka bega akiwa mazoezini na klabu hiyo.
Ajalia hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi juzi ambapo aliumia bega lile lile aliloumia msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City na kukaa nje ya Uwanja kwa wiki nne.
Hata hivyo klabu hiyo bado haijazungumzia suala la beki huyu ila kocha wa timu hiyo Louis van Gaal anatarajia kutoa maelezo ya kuumia huko kwa beki wake.
Beki huyo...
10 years ago
BBCSwahili01 May
Ben Davies apasuliwa bega
10 years ago
BBCSwahili07 May
Pacquiao afanyiwa upasuaji wa bega
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t8SZ7ULKV6pYC4IK2Ug4ejgxwdM59Hu*imc1YmplN5FoAHh3br8zqHi9JzhLHYP4TDlsfXlE-*vtMdforcyVRZl/peny.jpg?width=650)
PENNY; CHAGUA BEGA, CHAPA ILALE!
9 years ago
Bongo504 Dec
Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini
![2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935-300x194.jpg)
Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.
Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.
Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.
Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
MWANACHUO ALIYEJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA TATU AVUNJIKA MFUPA WA BEGA
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc5wwPtZBOHxGAi7UgNMwN7-VdnynqZ5VP9h1a6L0q-cYNIgC8sVzebbCet8l5ze4OO8nD9k9-AUXGM9ZjChsyU3/MWANACHUO.png?width=650)
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam , Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega. Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block B kushika moto. " Nilisikia kelele za moto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5wwPtZBOHxGAi7UgNMwN7-VdnynqZ5VP9h1a6L0q-cYNIgC8sVzebbCet8l5ze4OO8nD9k9-AUXGM9ZjChsyU3/MWANACHUO.png?width=650)
POLE: MWANACHUO ALIYEJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA TATU AVUNJIKA MFUPA WA BEGA