MWANACHUO ALIYEJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA TATU AVUNJIKA MFUPA WA BEGA
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam , Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini akiugulia maumivu.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam , Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega. Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block B kushika moto. " Nilisikia kelele za moto...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5wwPtZBOHxGAi7UgNMwN7-VdnynqZ5VP9h1a6L0q-cYNIgC8sVzebbCet8l5ze4OO8nD9k9-AUXGM9ZjChsyU3/MWANACHUO.png?width=650)
POLE: MWANACHUO ALIYEJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA TATU AVUNJIKA MFUPA WA BEGA
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s72-c/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
MERIDIANBET INAWAJIBIKA KWA JAMII: Afya na burudani vinaenda bega kwa bega!
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s640/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
KAMPUNI inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika.
Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu.
Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga.
Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo,...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Mwanafunzi UDSM aliyejirusha ghorofani asimulia
Hadia Khamis na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega.
Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block A kushika moto huku wanafunzi wakiwa vyumbani wakiendelea na shughuli zao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cecilia ambaye ni...
10 years ago
Habarileo20 Sep
Marufuku kutoka nje siku tatu
SIERRA Leone jana ilianza siku tatu za kujifungia ndani kwa wananchi wote, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kusambaa kwa ugonjwa wa ebola.
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Mwanachuo afa maji
MWANAFUNZI wa Chuo cha Utumishi jijini Dar es Salaam, Deus Josephat (21), mkazi wa Mjimwema, amefariki dunia alipokuwa akiogelea na wenzake ufukweni mwa Bahari ya Hindi eneo la Maweni Beach...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2quvCX5p2TO75thhhDG0pUk-rRKKLalta5vNHiOGK5a-lxDvS2wEZnIOcEAgs8fZE3jGNCQt6DLn924UEASmXrp2/Moiuniinside.jpg?width=650)
UNYAMA WA KUTISHA, MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Mwanachuo Udom jela miaka sita