Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi
Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen
Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Waasi Yemen kuacha mapigano?
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Waasi wapambana na wanajeshi Yemen
Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.
10 years ago
BBCSwahili10 May
Waasi wakubali kusitisha vita Yemen
Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini
Vikosi vinavyounga mkono serikali nchini Yemen vimechukua kambi kubwa ya wanahewa katika makabiliano na waasi wa Houthi ,msemaji wa vikosi hivyo ameambia BBC.
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen
Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania