Niko tayari kukamatwa-Maalim Seif
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yuko tayari kukamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka, kama kitendo chake cha kujitangazia ushindi ni kosa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maalim Seif: Nipo tayari kufa kutetea wapigakura
11 years ago
Habarileo09 Jan
Zitto: Niko tayari
LICHA ya uongozi wa Chadema kutaka wanachama wa chama hicho kuacha kumpa ushirikiano Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, yeye amesema yuko tayari kufanya kazi na kiongozi yeyote wa chama hicho aliye tayari.
10 years ago
Vijimambo26 May
Niko tayari kupima afya - Lowassa.
Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema kuwa kumekuwa na tabia ya watu kuombeana mabaya na mojawapo ni kuzushiana magonjwa na amependekeza kuwa wakati umefika kwa Chama Cha Mapinuzi (CCM) kupima afya za wagombea wake wa urais ili kujua ukweli nani mgonjwa.
Kadhalika, amesema kuwa yeye ni mzima wa afya na yuko tayari kwa chochote katika mchakato wa mapambano ya kuwaletea wananchi...
11 years ago
GPLCHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Buhari: Niko tayari kushauriana na Boko Haram
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Waziri mkuu Ethiopia:Niko tayari kukosolewa
11 years ago
Habarileo19 Apr
Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.
10 years ago
CloudsFM20 Mar
Niko tayari kuwa Baba wakambo wa Watoto wa Salima
9 years ago
Bongo515 Sep
Niko tayari kumzalia Nay Wa Mitego — Shamsa Ford