Maalim Seif: Nipo tayari kufa kutetea wapigakura
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yupo tayari kufa kwa kutetea misingi ya haki na utawala wa sheria katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhmueMZB9xQDgeiGT0rgsi73sXpBwH-8**yLpbo7403uNXBgcMgRzX2DzKQpFoOeURCG69MBjCEZXIh5x5jECb0/halima.jpg?width=650)
HALIMA: KWA DIAMOND, NIPO TAYARI KUFA
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Niko tayari kukamatwa-Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ghasia: Nipo tayari kuwajibika
![Hawa Ghasia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Hawa-Ghasia.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM,
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema kwamba yuko tayari kuwajibika iwapo atabainika amevuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchini.
Waziri Ghasia aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu taarifa ya awali ya upigaji kura katika Serikali za Mitaa.
“Nitakuwa...
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Oliver Oswald Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.
Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo endapo watashindwa kuwa walinzi wa uharibifu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSmc9CECn-Cy6pq7IVi8QgygGOSLIHNwAM6heBeQMvOUYdGOaHDG4KvMCtwEuciFMFFFjzogAm7zUE3N9933Nrdl/Diamond.gif?width=650)
DIAMOND: NIPO TAYARI KWA KIFO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtSOvhE6VMIInDdZjgkTk-lSNh3Nzqu*9oyiF78fSBTd2nOfTUe4pK0QQOhxNbvf5P1lXZKdI4sgjGBZw*I0szv/2.jpg?width=650)
NAY: NIPO TAYARI KUPIMA DNA
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DIAMOND SASA NIPO TAYARI KWA KIFO
![diamond mtoto](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/diamond-mtoto.png)
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.
KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWD8KQhvyXbZnjAf7WMHIE95fjgP9oF8Lv2iSa-e2sZ4OYGBYEL7uWtrSe23ZZKerJ*80r1d2ARz1XGub6RRj9X-/rose.jpg)
ROSE NDAUKA: NIPO TAYARI KUOLEWA NA YEYOTE!
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
David Malole: Nipo tayari kuopteza ubunge
“NIPO tayari kufa na nikifa nisizikwe bali nikatwe vipande vitatu. Kimoja kitupwe majini mamba wale, kingine msituni fisi watafune na kingine vichakani ndege wanaokula mizoga wale, lakini sitakuwa tayari kuona...