Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA

Stori: Gladness Mallya MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki amesema yupo tayari kumaliza tofauti zake na bosi wake wa zamani anayemiliki kundi la African Stars, Asha Baraka. Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki
“Mimi niko tayari kuyamaliza na Asha Baraka, Global Publishers mlishajaribu kutukutanisha lakini sijui ilikuwaje, lakini kutokana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA: SITAMSAMEHE CHOKI

Stori: Paparazi Wetu
MKURUGENZI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka, amesema kamwe hawezi kumsamehe mwanamuziki Ally Choki ambaye ni Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, ambaye ana bifu naye la muda mrefu. Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka akifunguka jambo katika ofisi za Global Publishers, zilizopo Bamaga Mwenge. Hivi karibuni habari zilienea kuwa...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAPATANISHA CHOKI, ASHA BARAKA!

Stori: Nyemo Chilongani/Ijumaa Wikienda
WAMEPATANA! Hatimaye Kampuni ya Global Publishers inayochapa gazeti hili na mengine ya Ijumaa, Uwazi, Risasi, Amani na Championi imefanikiwa kuwapatanisha wale mahasimu wawili ambao ni viongozi wa bendi mbili tofauti, Mkurugenzi wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mwenzake wa Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo Staili’, Ali...

 

11 years ago

GPL

CHOKI, ASHA BARAKA, HEBU TULIENI, SOMENI HII BARUA!

Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki. KWENU,
Ali Choki na Asha Baraka. Kwanza poleni sana kwa majukumu yenu ya kila siku. Najua mchakamchaka mnaokutana nao kila siku. Mnapambana kuhakikisha maisha yanasonga kama kawaida, ingawa changamoto ni za kawaida.…

 

10 years ago

GPL

ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: ASHA BARAKA, CHOKI HIVI MNAJUA MNA DENI KUBWA?

Asha na Choki wakishow love ndani ya studio za Global TV Online baada ya upatanisho. NINAWAFAHAMU vizuri sana hawa watu wawili, dada Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mdogo wake, Ally Choki mwenye majina mengi ya kisanii, lakini mimi nikilipenda zaidi la Mzee wa Kizigo, kwa vile kwangu lina kumbukumbu ya mambo mengi. Hakuna utata kuwa Asha Baraka ni mmoja wa wanawake wapambanaji katika zama za sasa ambao taifa linaweza...

 

10 years ago

GPL

ASHA BARAKA, ALI CHOKI SASA 'NO BEEF'

Ali Choki na Asha Baraka wakiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati wa kumaliza bifu lao. BIFU lililodumu kwa muda mrefu kati ya Mkurugenzi wa Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka na Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki leo limemalizika rasmi katika ofisi za Global Publishers Ltd zilizopo Mwenge, Bamaga jijini Dar. Wakongwe hao katika muziki wa dansi wameamua kumaliza tofauti zao na kuwa kitu kimoja huku...

 

10 years ago

CloudsFM

Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia: Faiza

Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.

Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.

Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo...

 

11 years ago

Habarileo

Zitto: Niko tayari

LICHA ya uongozi wa Chadema kutaka wanachama wa chama hicho kuacha kumpa ushirikiano Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, yeye amesema yuko tayari kufanya kazi na kiongozi yeyote wa chama hicho aliye tayari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani