UNAJUA ALICHOKISEMA ALI CHOKI NA ASHA BARAKA BAADA YA KUPATANA? UNGANA N...
![](http://img.youtube.com/vi/Rj6jEYm8RNs/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL03 Feb
10 years ago
GPLASHA BARAKA, ALI CHOKI SASA 'NO BEEF'
Ali Choki na Asha Baraka wakiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati wa kumaliza bifu lao. BIFU lililodumu kwa muda mrefu kati ya Mkurugenzi wa Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka na Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki leo limemalizika rasmi katika ofisi za Global Publishers Ltd zilizopo Mwenge, Bamaga jijini Dar. Wakongwe hao katika muziki wa dansi wameamua kumaliza tofauti zao na kuwa kitu kimoja huku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yi4kz*1pm6fCf9c49QNBiQvxnOU17h0hCAT7Op7atZhFFJL9mzNx0g2Tf30R-rImqUIFL*jRLZVCEyVcQ7yKwtS/CHOKI.jpg)
ASHA BARAKA: SITAMSAMEHE CHOKI
Stori: Paparazi Wetu
MKURUGENZI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka, amesema kamwe hawezi kumsamehe mwanamuziki Ally Choki ambaye ni Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, ambaye ana bifu naye la muda mrefu. Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka akifunguka jambo katika ofisi za Global Publishers, zilizopo Bamaga Mwenge. Hivi karibuni habari zilienea kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0eJ8PVZfCVQME6gqV0XjWQNtE8bntHRB-vLWnvsTB10pxn0EaKBSjKsXkF6IiA0YEsqoQzjJR5FKFfPdWlnmFk/choki.jpg)
GLOBAL ILIVYOWAPATANISHA CHOKI, ASHA BARAKA!
Stori: Nyemo Chilongani/Ijumaa Wikienda
WAMEPATANA! Hatimaye Kampuni ya Global Publishers inayochapa gazeti hili na mengine ya Ijumaa, Uwazi, Risasi, Amani na Championi imefanikiwa kuwapatanisha wale mahasimu wawili ambao ni viongozi wa bendi mbili tofauti, Mkurugenzi wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mwenzake wa Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo Staili’, Ali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jwlj1*6MhX1o-ANGPfa2br--50S-AnMxhXa*N03tN8Q5h8IQor8z-pTSRD-e1oCXhxhEPLTl3T*ETQ6l6GIlexm/allychoki.jpg)
CHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA
Stori: Gladness Mallya MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki amesema yupo tayari kumaliza tofauti zake na bosi wake wa zamani anayemiliki kundi la African Stars, Asha Baraka. Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki
“Mimi niko tayari kuyamaliza na Asha Baraka, Global Publishers mlishajaribu kutukutanisha lakini sijui ilikuwaje, lakini kutokana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBDQrqFni8Y4DgrQ*zEdZwSzdukE2Szs2vV9T1CC*FrEhBATMFbKl-LkvXfDoRrOQH0WPnms0jjGPSX2-R0saus4/BARUANZITO.jpg)
CHOKI, ASHA BARAKA, HEBU TULIENI, SOMENI HII BARUA!
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki. KWENU,
Ali Choki na Asha Baraka. Kwanza poleni sana kwa majukumu yenu ya kila siku. Najua mchakamchaka mnaokutana nao kila siku. Mnapambana kuhakikisha maisha yanasonga kama kawaida, ingawa changamoto ni za kawaida.…
10 years ago
GPLZA CHEMBE LAZIMA UKAE: ASHA BARAKA, CHOKI HIVI MNAJUA MNA DENI KUBWA?
Asha na Choki wakishow love ndani ya studio za Global TV Online baada ya upatanisho. NINAWAFAHAMU vizuri sana hawa watu wawili, dada Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mdogo wake, Ally Choki mwenye majina mengi ya kisanii, lakini mimi nikilipenda zaidi la Mzee wa Kizigo, kwa vile kwangu lina kumbukumbu ya mambo mengi. Hakuna utata kuwa Asha Baraka ni mmoja wa wanawake wapambanaji katika zama za sasa ambao taifa linaweza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFs68z8qSVYtQ6VJJcAy*51*CntTAsyoxa-N*Ew0Mwe20aJ-kUidSW5GNEcvuLOl1*wg-XQLLCh*agexb2OL3gB/lulu.png?width=650)
ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA
Elizabeth Michael 'Lulu'. Kupitia Account yake ya Instagram msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' amefunguka kuhusiana na Ali Kiba kuachia nyimbo mbili kwa mpigo. Muonekano wa alichokisema Elizabeth Michael 'Lulu' Instagram. Hiki ndicho alichokisema: "Haya sasa.....maelezo hatimaye…
9 years ago
StarTV29 Aug
Unajua alichokisema Mwakyembe kuhusu Richmond
![Dk Harrison Mwakyembe](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/mwakyembe28mbeya_210_120.jpg)
Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli katika viwanja vya Luandanzovwe jijini Mbeya, jana.
Akizungumzia madai ya kwa nini baadhi ya wahusika hawakupelekwa mahakamani kama kuna ushahidi, mhadhiri huyo wa sheria alisema kosa la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania