Wanaotukana, kutumia vibaya mitandao kukiona
WIZARA ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia imeamua kudhibiti wanaotumia vibaya mitandao kwa kuweka picha zisizo na maadili kwa jamii, wanaotumia lugha ya matusi na wanaoiba kupitia mitandao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wanaotumia vibaya simu kukiona
SERIKALI imeahidi kuja na sheria itakayozuia matumizi mabaya ya mitandao ya simu yanayohusisha usambazaji wa picha za ngono, wizi na taarifa zingine zinazochangia kubomoa maadili ya Mtanzania.
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Basata yaonya wanaotumia vibaya mitandao
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
TRCA: Msitumie vibaya mitandao ya kijamii
WATANZANIA wamehimizwa kuacha matumizi mabaya ya mitandao ya jamii ikiwemo kuweka picha za utupu, kusababisha ugomvi, kuwahimiza wengine kwa mambo yasiyo ya kweli, kupotosha jamii na kuvuruga maendeleo. Akizungumza, Meneja...
9 years ago
VijimamboSHERIA YA KUWADHIBITI WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.
Na Magreth Kinabo SHERIA mpya ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa leo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200503-WA0028.jpg)
KAMALA AWASHAURI VIJANA WENZAKE KUTOTUMIA VIBAYA MITANDAO HIYO YA KIJAMII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200503-WA0028.jpg)
John George Kamala, Kijana anayejihusisha na masuala ya mitindo (model) amewataka vijana kutokutumia vibaya mitandao ya kijamii bali waitumie kujiingizia kipato.
Kamala pia amekuwa moja ya vijana wanaojiingizia kipato kupitia mtandao wa kijamii YouTube.
Amesema, ukiitumia vizuri mitandao ya Kijamii inakuleta manufaa makubwa sana bila kumtegemea mtu akusaidie na zaidi utajulikana kwa upana zaidi na watu mbalimbali.
Kamala amewasihi vijana wote kuacha kutumia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEWLCMFOMVA7Cx8pm-jU3kEO9xu0CVrtDepeMA9q8bWUONbY7AkRrNgdVtvFMdQ5lIwLQ7OtGV-dUkV8KH4l7-rL/POLISI1.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-88O_7eqxa34/VAdwgnSwTnI/AAAAAAACp88/pbONrSXpfmg/s72-c/02.jpg)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIAJI VIBAYA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-88O_7eqxa34/VAdwgnSwTnI/AAAAAAACp88/pbONrSXpfmg/s1600/02.jpg)
======== ====== ====== JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi, uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali, dini na watu mashuhuri.
Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014 Msemaji wa Polisi,...
9 years ago
MichuziWATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA SHERIA KUWADHIBITI KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.
Na Magreth Kinabo SHERIA mpya ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa leo na...
11 years ago
Habarileo28 Apr
JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo
RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.