JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIAJI VIBAYA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-88O_7eqxa34/VAdwgnSwTnI/AAAAAAACp88/pbONrSXpfmg/s72-c/02.jpg)
MSEMAJI wa Jeshi la Polisi, Advera Senso akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Septemba 3,2014 kuhusu kupiga marufuku watu wanaotumia mitandao kinyume na taratibu.HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON
======== ====== ====== JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi, uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali, dini na watu mashuhuri.
Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014 Msemaji wa Polisi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEWLCMFOMVA7Cx8pm-jU3kEO9xu0CVrtDepeMA9q8bWUONbY7AkRrNgdVtvFMdQ5lIwLQ7OtGV-dUkV8KH4l7-rL/POLISI1.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Polisi yatoa onyo kali Kalenga
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s72-c/KOVA.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LATOA TAHADHALI KWA WANAWAKE KUTOSHIRIKI KIMAPENZI NA WATU WASIOWAJUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s1600/KOVA.jpg)
Zimekuwepo taarifa juu ya kuwepo kwa wanaume wawili wanaoshawishi wanawake kuwa nao kimapenzi na baada ya muda huwauwa. Hivyo natoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaam kuchukua tahadhali juu ya watu hawa maana huatarisha maisha yao au ya familia zao.
Inaaminika watu hao...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hcvg6M1mogM/VSfU268BHTI/AAAAAAAHQHo/i5U3_FwWh20/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-10%2Bat%2B4.48.09%2BPM.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUFUATIA UPOTOSHWAJI UNAOENEZWA KWA NJIA YA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hcvg6M1mogM/VSfU268BHTI/AAAAAAAHQHo/i5U3_FwWh20/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-10%2Bat%2B4.48.09%2BPM.png)
Jeshi la Polisi nchini linawataka wote wenye tabia hiyo kuacha mara moja na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wFGmgqD2Edo/VANbArf2GqI/AAAAAAAGYZo/0O_4a6QKiuc/s72-c/unnamed.jpg)
TRA NA JESHI LA POLISI WATOA ONYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-wFGmgqD2Edo/VANbArf2GqI/AAAAAAAGYZo/0O_4a6QKiuc/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi