TRCA: Msitumie vibaya mitandao ya kijamii
WATANZANIA wamehimizwa kuacha matumizi mabaya ya mitandao ya jamii ikiwemo kuweka picha za utupu, kusababisha ugomvi, kuwahimiza wengine kwa mambo yasiyo ya kweli, kupotosha jamii na kuvuruga maendeleo. Akizungumza, Meneja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200503-WA0028.jpg)
KAMALA AWASHAURI VIJANA WENZAKE KUTOTUMIA VIBAYA MITANDAO HIYO YA KIJAMII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200503-WA0028.jpg)
John George Kamala, Kijana anayejihusisha na masuala ya mitindo (model) amewataka vijana kutokutumia vibaya mitandao ya kijamii bali waitumie kujiingizia kipato.
Kamala pia amekuwa moja ya vijana wanaojiingizia kipato kupitia mtandao wa kijamii YouTube.
Amesema, ukiitumia vizuri mitandao ya Kijamii inakuleta manufaa makubwa sana bila kumtegemea mtu akusaidie na zaidi utajulikana kwa upana zaidi na watu mbalimbali.
Kamala amewasihi vijana wote kuacha kutumia...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Basata yaonya wanaotumia vibaya mitandao
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wanaotukana, kutumia vibaya mitandao kukiona
WIZARA ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia imeamua kudhibiti wanaotumia vibaya mitandao kwa kuweka picha zisizo na maadili kwa jamii, wanaotumia lugha ya matusi na wanaoiba kupitia mitandao.
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Twaweza yawagonganisha watumiaji mitandao ya kijamii