Twaweza yawagonganisha watumiaji mitandao ya kijamii
Siku moja baada ya Taasisi ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti unaoonyesha kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, imeibua mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa wagombea hao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s72-c/article.jpg)
UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s1600/article.jpg)
Palipo na mafanikio...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Heartbleed bug: Tishio jipya la uhalifu kwa watumiaji mitandao
Hili ni tishio jipya linalohusu uwezo wa wahalifu kuiba maneno ya siri (passwords) na taarifa za watumiaji wa huduma za intaneti na hata wale wa mashine za kutolea fedha (ATM)
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikipamba moto majukwaani, matumizi ya mitandao ya kijamii imeshika kasi kwa makundi na watu binafsi kuitumia kuwanadi wagombea wao.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
Kwani mtindo wa nywele au ushungi wa mtu unasema chochote kuhusu tabia au mwenendo wa mtu huyo?
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya uandishi wa habari.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga amesema mitandao ya kijamii kama vile Whatsapp, Facebook na Instagram imesaidia kupunguza ajali.
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s72-c/HRT.jpg)
TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO
Wana mitandao kote duniani hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s1600/HRT.jpg)
“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili kutoonekana kirahisi, ila baada ya...
9 years ago
VijimamboSHERIA YA KUWADHIBITI WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.
Na Magreth Kinabo SHERIA mpya ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa leo na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania