Heartbleed bug: Tishio jipya la uhalifu kwa watumiaji mitandao
Hili ni tishio jipya linalohusu uwezo wa wahalifu kuiba maneno ya siri (passwords) na taarifa za watumiaji wa huduma za intaneti na hata wale wa mashine za kutolea fedha (ATM)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s72-c/HRT.jpg)
TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO
Wana mitandao kote duniani hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s1600/HRT.jpg)
“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili kutoonekana kirahisi, ila baada ya...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s72-c/2..jpg)
MUENDELEZO: “HEARTBLEED”- YATIKISA USALAMA WA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s1600/2..jpg)
Aidha, Swala la usalama mtandao nchini tanzania limekuwa likijadiliwa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari na nilipata kuweka mmoja wa mjadala wa maswala ya ulinzi mtandao kupitia post...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s72-c/article.jpg)
UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s1600/article.jpg)
Palipo na mafanikio...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Twaweza yawagonganisha watumiaji mitandao ya kijamii
Siku moja baada ya Taasisi ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti unaoonyesha kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, imeibua mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa wagombea hao.
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s72-c/2.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?
![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s1600/2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWCyceYbCN2PnejVO7p6lkLV1wAQD-AVs3tV3**WDuzPyVqzM8JR*Y42R*SDxfoDMYlYAHSqKh37a4bfJ4TL3QVg/aliens610.jpg?width=650)
ALIENS; BADO TISHIO JIPYA DUNIANI!
LIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza jinsi ambavyo kwenye miaka ya hivi karibuni, neno UFO (Unidentified Flying Objects) limechukua kasi hasa nchi za Magharibi, Asia na nyinginezo. Taarifa zisizokuwa rasmi zinadai UFO ni vyombo vya angani kama ndege za ajabu vinavyotumiwa na Aliens ambavyo tabia zake ni tofauti sana na vyombo vyetu vya anga.
SASA ENDELEA… Kuna dhana nyingi mno katika ishu hii ya Aliens. Je, wewe...
9 years ago
VijimamboSHERIA YA KUWADHIBITI WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.
Na Magreth Kinabo SHERIA mpya ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa leo na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania