Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Heartbleed bug: Tishio jipya la uhalifu kwa watumiaji mitandao

Hili ni tishio jipya linalohusu uwezo wa wahalifu kuiba maneno ya siri (passwords) na taarifa za watumiaji wa huduma za intaneti na hata wale wa mashine za kutolea fedha (ATM)

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO



Wana mitandao kote duniani  hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.



“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili  kutoonekana kirahisi, ila baada ya...

 

11 years ago

Ykileo

MUENDELEZO: “HEARTBLEED”- YATIKISA USALAMA WA MITANDAO

UTANGULIZI:Taarifa ya awali inapatikana kwenye taarifa nililoandika kuhusiana na "HEARTBLEED" Mapema mwezi huu wa Nne 2014 . Kwenye taarifa hiyo ya awali, nilihusisha Video na maagizo mbalimbali katika picha yaliyo onekana katika baadhi ya mitandao ikiwa ni katika kutoa TAHADHARI kwa watumiaji mtandao.

Aidha, Swala la usalama mtandao nchini tanzania limekuwa likijadiliwa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari na nilipata kuweka mmoja wa mjadala wa maswala ya ulinzi mtandao kupitia post...

 

10 years ago

Ykileo

UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO.

Ukuaji wa Sekta ya TEHAMA umekuwa wa mafanikio na msaada mkubwa katika kuharakisha, kuboresha na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi na kuchangia  kikamilifu katika kukuza uchumi na kuleta maendeleo ya Taifa letu. Kwa mfano, wananchi walio wengi sasa wanapata huduma mbalimbali za mtandao kwa kutuma na kupokea pesa; kulipia ankara za maji, umeme na tozo mbalimbali kama vile ada na leseni; na mawasiliano ya simu na intaneti pamoja na elimu mtandao na tiba mtandao.


Palipo na mafanikio...

 

10 years ago

Ykileo

UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Mkutano wa “Connect East Africa” uliofanyika Diani Nchini Kenya umekamilika huku ukibaini yakua Uchumi wanchi za Afrika mashariki umeathiriwa sana na uhalifu mtandao kiasi ambacho mambo matano ya juu yanayo athiri uchumi wa nchi za afrika mashariki ni pamoja na Uhalifu mtandao.


Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao

Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.

 

9 years ago

Mwananchi

Twaweza yawagonganisha watumiaji mitandao ya kijamii

Siku moja baada ya Taasisi ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti unaoonyesha kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, imeibua mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa wagombea hao.

 

11 years ago

Ykileo

UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?

Uhalifu mtandaoo bado ni tatizo si tu katika nchi ya Tanzania bali Afrika na hata Duniani kwa ujumla. Hali imekua ni mbaya na bado jitihada za dhati zinaendelea kimataifa ili kukabiliana na uhalifu mtandao.  Kwa upande wa Tanzania midahalo imekua ikiendelea ikiwa ni katika kukuza uwelewa kwa watanzania juu ya maswala ya uhalifu mtandao. mchango wa vyombo vya habari katika kuelimisha jamii umeendelea kukua hivi sasa. Hili nilipata kulifafanua kupitia Mada niliyoiandikia kwa jina la unao...

 

9 years ago

GPL

ALIENS; BADO TISHIO JIPYA DUNIANI!

LIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza jinsi ambavyo kwenye miaka ya hivi karibuni, neno UFO (Unidentified Flying Objects) limechukua kasi hasa nchi za Magharibi, Asia na nyinginezo. Taarifa zisizokuwa rasmi zinadai UFO ni vyombo vya angani kama ndege za ajabu vinavyotumiwa na Aliens ambavyo tabia zake ni tofauti sana na vyombo vyetu vya anga.
SASA ENDELEA… Kuna dhana nyingi mno katika ishu hii ya Aliens. Je, wewe...

 

9 years ago

Vijimambo

SHERIA YA KUWADHIBITI WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo.Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini jijini Dar es Salaam leo.

Na Magreth Kinabo SHERIA mpya   ya Makosa ya Mtandao ya mwaka   2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji   na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
 Kauli hiyo imetolewa leo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani