MUENDELEZO: “HEARTBLEED”- YATIKISA USALAMA WA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s72-c/2..jpg)
UTANGULIZI:Taarifa ya awali inapatikana kwenye taarifa nililoandika kuhusiana na "HEARTBLEED" Mapema mwezi huu wa Nne 2014 . Kwenye taarifa hiyo ya awali, nilihusisha Video na maagizo mbalimbali katika picha yaliyo onekana katika baadhi ya mitandao ikiwa ni katika kutoa TAHADHARI kwa watumiaji mtandao.
Aidha, Swala la usalama mtandao nchini tanzania limekuwa likijadiliwa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari na nilipata kuweka mmoja wa mjadala wa maswala ya ulinzi mtandao kupitia post...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Heartbleed bug: Tishio jipya la uhalifu kwa watumiaji mitandao
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s72-c/HRT.jpg)
TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO
Wana mitandao kote duniani hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s1600/HRT.jpg)
“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili kutoonekana kirahisi, ila baada ya...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
maswala ya usalama mitandao
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-cAxhFswQqMw/VQgu5s_MVeI/AAAAAAAABWA/YWEy4L7rz9M/s72-c/CYBER%2BKILEO.jpg)
HOLLYWOOD WAZINDUA TAMTHILIA MPYA YA USALAMA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-cAxhFswQqMw/VQgu5s_MVeI/AAAAAAAABWA/YWEy4L7rz9M/s1600/CYBER%2BKILEO.jpg)
Hatua yao hiyo imekua ikipongezwa sana na wataalam wa maswala ya mitandao duniani kote huku tukisistiza mataifa mengine yaweze kuiga juhudi hizo. Kuungana na wataalam...
10 years ago
MichuziISACA TANZANIA YATOA SEMINA KUHUSU USALAMA WA MITANDAO
Aidha Dk. Jabir alisema kuwa semina hiyo inawakutanisha wataalamu wa mifumo ya kompyuta kutoka ndani na nje ya nchi watakaojifunza na kuongeza utaalamu wa kulinda mifumo ya...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa Taifa letu-3
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa taifa letu-1
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-xlwmtpaArtU/VFOSvE6T-5I/AAAAAAAABAU/lnJlIkxeIsE/s72-c/BLOG%2BKILEO.jpg)
MWEZI WA USALAMA MITANDAO UMEFIKIA TAMATI - YALIYOJIRI NA MAZINGATIO YAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlwmtpaArtU/VFOSvE6T-5I/AAAAAAAABAU/lnJlIkxeIsE/s1600/BLOG%2BKILEO.jpg)
KATIKA MWEZI HUU: kwa uchache kabisa nitaangazia matukio baadhi nikianzia na kutokea nchini "MAREKANI" Raisi wa Marekani Alipitisha agizo muhimu kwa taifa hilo kuhusiana na matumizi ya kadi ili...
10 years ago
YkileoUSALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.