HOLLYWOOD WAZINDUA TAMTHILIA MPYA YA USALAMA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-cAxhFswQqMw/VQgu5s_MVeI/AAAAAAAABWA/YWEy4L7rz9M/s72-c/CYBER%2BKILEO.jpg)
Nilipata kuzungumzia mchango mkubwa unaopatikana kupitia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na Tasnia ya filamu katika kutoa elimu ihusuyo maswala ya usalama mitandao. Hollywood wamekua wakiongoza katika kutengeneza vipengele mbali mbali vyenye kutoa ufafanuzi wa makosa mtandao yanavyo tendwa na namna ya kutambua na kujikinga.
Hatua yao hiyo imekua ikipongezwa sana na wataalam wa maswala ya mitandao duniani kote huku tukisistiza mataifa mengine yaweze kuiga juhudi hizo. Kuungana na wataalam...
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
maswala ya usalama mitandao
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s72-c/2..jpg)
MUENDELEZO: “HEARTBLEED”- YATIKISA USALAMA WA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcJO5pX9Wsw/U1mkmWnGWAI/AAAAAAAAAbo/BFiPwX2plws/s1600/2..jpg)
Aidha, Swala la usalama mtandao nchini tanzania limekuwa likijadiliwa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari na nilipata kuweka mmoja wa mjadala wa maswala ya ulinzi mtandao kupitia post...
10 years ago
MichuziISACA TANZANIA YATOA SEMINA KUHUSU USALAMA WA MITANDAO
Aidha Dk. Jabir alisema kuwa semina hiyo inawakutanisha wataalamu wa mifumo ya kompyuta kutoka ndani na nje ya nchi watakaojifunza na kuongeza utaalamu wa kulinda mifumo ya...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa taifa letu-1
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa Taifa letu-3
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mabalozi wa Usalama barabarani ‘RSA’ wazindua kampeni ya “Abiria paza sautiâ€
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Asasi ya kiraia ya Road Safety Ambassadors (RSA) imezindua kampeni ya Abiria paza sauti kipindi hiki ambacho tunaelekea kumaliza mwaka 2015 ikiwa na lengo la kutokomeza ajari ambazo zimekuwa zikijitokeza mwisho wa mwaka.
Akizungumzia kampeni hiyo,...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-xlwmtpaArtU/VFOSvE6T-5I/AAAAAAAABAU/lnJlIkxeIsE/s72-c/BLOG%2BKILEO.jpg)
MWEZI WA USALAMA MITANDAO UMEFIKIA TAMATI - YALIYOJIRI NA MAZINGATIO YAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlwmtpaArtU/VFOSvE6T-5I/AAAAAAAABAU/lnJlIkxeIsE/s1600/BLOG%2BKILEO.jpg)
KATIKA MWEZI HUU: kwa uchache kabisa nitaangazia matukio baadhi nikianzia na kutokea nchini "MAREKANI" Raisi wa Marekani Alipitisha agizo muhimu kwa taifa hilo kuhusiana na matumizi ya kadi ili...
10 years ago
YkileoUSALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.
10 years ago
GPLTANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA NNE WA MASWALA YA USALAMA MITANDAO