Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo
Muigizaji wa filamu, Vicent Kigosi maarufu kama Ray amesema kupitia uchaguzi mwak mwaka huu ameweza kuwafahamu wasanii mwenye akili na wasiokuwa nazo. Ray kupitia ukurasa wake wa Instagram muigizaji huyo aliandika: FREEDOM OF SPEECH Kuna vitu vingi sana nimegundua kwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbSdhBANmt5SfGzjqMUzafsSy8LdQzcd7sGHkeqbBCLyc1jjtenkfSadD8kbmMXT1ZuTiNA8iFCLV2wWFBAoB6c/BATULI.jpg?width=650)
BATULI APINGA KUFUTURISHA WENYE NAZO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXgRwaJHLGITXR3E0WSo6jWlGlWEq1TNIJFuNa7DvzaYHu4SZyuV5LT6Ert5uoVT*8CKbzi*eQS6jkWjl9euYoi/MAMAWEMA.jpg)
SHAMSA, BOZI; KUSHOBOKEA WENYE NAZO KUTAWATOKEA PUANI!
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Je wenye akili taahira wafungwe kizazi?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69OIA-LpgM9bJLSfoaEoK5zFRztwsQLFG3ViWoMVpeZAtjZEf-sK-tpgx1a4zH5sI5lpXw7j4juJjKKq0ueqG5-/GWAJIMA2.jpg?width=650)
NI WENYE AKILI PEKEE NDIYO WATAKAOMWELEWA GWAJIMAU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJfc0T8e8iii1hQYZYGRhFBLgpzxbsdTAJbB5ck9TpZbEO2nDT*EHTSSbiU6qBqTisJFm0Q-8Jl3IqZD-mugccfX/dollars.jpg?width=650)
WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...