Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI APINGA KUFUTURISHA WENYE NAZO

Na Hamida Hassan MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ametamka kuwa hakubaliani kabisa na wale mastaa wenye tabia za kufuturisha watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu, Batuli alisema anaamini kwamba twawabu nzuri zinapatikana kwa kufuturisha watu wenye mahitaji kama watoto yatima na ndiyo maana yeye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHAMSA, BOZI; KUSHOBOKEA WENYE NAZO KUTAWATOKEA PUANI!

KUNA muigizaji mmoja mkubwa nafahamu sana uwezo wake na katika siku za hivi karibuni, amekuwa akinivutia baada ya kumtazama katika kazi zake kadhaa, Shamsa Ford. Halafu kuna huyu mwingine, Fatma Ayoub maarufu kama Bozi, naye anajitahidi kiasi chake. Kwa nyakati tofauti wametoa kauli zilizonifanya nifikirie mara mbilimbili; kwamba wao wanahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye nazo, kwa sababu hawa akina pangu...

 

9 years ago

Bongo5

Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo

Muigizaji wa filamu, Vicent Kigosi maarufu kama Ray amesema kupitia uchaguzi mwak mwaka huu ameweza kuwafahamu wasanii mwenye akili na wasiokuwa nazo. Ray kupitia ukurasa wake wa Instagram muigizaji huyo aliandika: FREEDOM OF SPEECH Kuna vitu vingi sana nimegundua kwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili […]

 

11 years ago

GPL

MASTAA WAPONDWA KWA KUFUTURISHA...

Stori: Mwandishi Wetu VIONGOZI kadhaa wa dini ya Kiislamu jijini Dar, wamewaponda baadhi ya watu maarufu wanaotumia fedha nyingi kuwafuturisha watu kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakisema jambo hilo ni sawa na unafiki na kujionyesha. Aunt Ezekiel (aliyesimama mbele), akihudumia chakula eneo hilo,huu ulikuwa ni mfungo wa mwaka jana. Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, viongozi hao wamesema kufuturisha ni...

 

11 years ago

GPL

AUNT ASHINDWA KUFUTURISHA, KISA KUUGUA

Stori: mayAsa mariwata
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel ameshindwa kutimiza azma yake ya kufuturisha pamoja na kuwaombea dua wasanii walioaga dunia kutokana na kuugua na kulazwa. Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel. Awali msanii huyo alitangaza kufanya tukio hilo Jumanne iliyopita lakini Mungu hakutaka atimize lengo lake hilo kufuatia kukumbwa na malaria ya nguvu pamoja na presha. “Nasikitika sana nimeshindwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TIGO yatoa zawadi ya Eid na kufuturisha mkoani Singida

1A

Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani)akikabidhi zawadi za sikukuu ya Eid kwa Msemaji mkuu wa msikiti wa Taqwa Singida Mjini, Sheikh Saad Mhando kabla ya kupata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo mkoani humo.

2

Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani)akiwa pamoja na Masheikh na watoto wa Msikiti wa Taqwa mjini Singida kwenye dua ya pamoja.

3

Wahuduma wa chakula wakitoa huduma kwa waalikwa.

5

4

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatoa 20m/- kufuturisha Vituo vya watoto yatima nchini

Airtel Tanzania imetoa Tsh Milioni 20 kwa Jumuiya ya Waislamu kupitia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kwa lengo la kufuturisha vituo kumi vya kulelea watoto yatima nchini. Akikabidhi hundi kwa Naibu katibu Mkuu wa Bakwata Meneja Huduma za Jamii wa Airtel Hawa Bayumi alisema vituo vitakavyopata msaada huo ni pamoja na Kigogo Fresh orphanage cha Ilala, IHSANI orphanage cha Temeke, Almadina center kinondoni.Pia kwa Arusha ni Kiboa Islamic orphanage, Nusuru yatima orphanage Bukoba,...

 

9 years ago

Habarileo

Mvua nazo zampamba Rais wa Tano

MOJA ya mambo yaliyoambatana na ujio wa Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli, ni mvua za hapa na pale, ambazo zimekuwa zikitokea sambamba na matukio ya kuchaguliwa kwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Uganda, Kenya, Rwanda nazo zawasilisha bajeti

>Nchi za Jumuiya za Afrika Mashariki zimewasilisha bajeti zao kwa mwaka wa fedha 2014/15 kwa pamoja huku zikiweka vipaumbele vinavyoashiria kusukuma mbele shughuli za maendeleo na kupambana na umaskini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Nachukizwa na ‘Artwork’ Ambazo Sina Taarifa Nazo

Nachukizwa sana pale napoona mtu kaenda kutengeneza Artwork ambayo mimi binafsi sina taarifa nayo... Nimeona Artwork yenye picha yangu niliovaa bazee la njano ikisema Wema Sepetu Vyiti maalum 2015 -2020... Kwanza kakosea neno Viti maana sio Vyiti... Naomba aliopost hio artwork aitoe kwa heshima na taadhima... Pale zitakapokuwa tayari za kwangu basi nadhani mtaanza kuiona kupitia ukurasa wangu ambao ni huu hapa... Ile picha kwanza ni picha ya zamani sana na pale ambapo wameweka rangi ya Green...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani