SHAMSA, BOZI; KUSHOBOKEA WENYE NAZO KUTAWATOKEA PUANI!
![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXgRwaJHLGITXR3E0WSo6jWlGlWEq1TNIJFuNa7DvzaYHu4SZyuV5LT6Ert5uoVT*8CKbzi*eQS6jkWjl9euYoi/MAMAWEMA.jpg)
KUNA muigizaji mmoja mkubwa nafahamu sana uwezo wake na katika siku za hivi karibuni, amekuwa akinivutia baada ya kumtazama katika kazi zake kadhaa, Shamsa Ford. Halafu kuna huyu mwingine, Fatma Ayoub maarufu kama Bozi, naye anajitahidi kiasi chake. Kwa nyakati tofauti wametoa kauli zilizonifanya nifikirie mara mbilimbili; kwamba wao wanahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye nazo, kwa sababu hawa akina pangu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Dec
Kivazi kifupi chamtokea puani Shamsa Ford
![12269858_889140661207376_931862099_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12269858_889140661207376_931862099_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu, Shamsa Ford ameonja joto la jiwe hivi karibuni baada ya kuambulia matusi katika mtandao wa Instagram kutokana na kuvaa kivazi kifupi akiwa mbele ya mtoto wake wa kiume.
Muigizaji huyo mahiri wa filamu ya Chausiku na Bado na Tafuta, ametoa ya moyoni kupitia mtandao huo baada ya kutukanwa na mashabiki.
“Maisha yangu hayawahusu. Ukiona hufulahishwi na chochote toka kwangu ni unfollow. Hukulazimishwa kunifollow. Yaani kuniona kwenye movie ndo mnajifanya mnanijua mpaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbSdhBANmt5SfGzjqMUzafsSy8LdQzcd7sGHkeqbBCLyc1jjtenkfSadD8kbmMXT1ZuTiNA8iFCLV2wWFBAoB6c/BATULI.jpg?width=650)
BATULI APINGA KUFUTURISHA WENYE NAZO
9 years ago
Bongo502 Sep
Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkExV34Eq450DSPcEmbm4w9IbXfsXPYEjFG8wZrggFzCdplsyNmNxyL0CV4IZ6pte6nSlouznkdqbh-*24tDWU5/mahaba.gif)
ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCXZMIR9iO0blRWQSyJvtlN-mzTeXN-H2ItJwHUVTsFCYnZOCFlVutbgjFqFhJBz4mOhhfEeZop*pZ3*PSbtXX6/MAHABA.gif?width=650)
ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!-2
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhvVq8FWRvQvkm8yteaMqCsQcVPGBaznIAly7u77pSRlQUnCxyQg7lOCQRkiwgo9xFRUEPDvCBoJ8X5xqp3zTgP/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ajikuta na mdudu mnyonyaji puani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8b8ZAQXxErkxZMbSD9CpK45S8K2A*YV3GfzEOklrZvNSsx2lEr3NXJJJiTzxD08PId9NaDxzh7uIj4GooqnlgFf/nipishenabozi.jpg?width=650)
BOZI, ALLY NIPISHE WAMWAGANA