Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOZI, ALLY NIPISHE WAMWAGANA

Mayasa Mariwata
Kwisha habari! Msanii wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ na mwandani wake ambaye ni Mbongo-Fleva, Ally Nipishe, wamemwagana kwa kile kilichodaiwa kuwa, jamaa huyo anapenda kulelewa. Msanii wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu `Bozi’. Kwa mujibu wa chanzo kilichopo karibu ya wawili hao, Ally Nipishe alikuwa akiishi kwa Bozi maeneo ya Kinondoni-Mkwajuni, Dar ambapo hivi karibuni wametifuana baada ya Bozi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOZI, ALLY NIPISHE MAHABA NIUE!

Mayasa Mariwata Wamenaswa! Mwigizaji asiyeishiwa habari kwenye ulimwengu wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye hivi karibuni alitaka kumzawadia gari msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu ‘Ally Nipishe’, wawili hao wamebambwa laivu waikioneshana mahaba niue. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1KlFp2B

 

10 years ago

GPL

GARI LA BOZI KWA ALLY NIPISHE LAZUA UTATA

Mayasa mariwata
GARI aina ya Toyota IST lenye thamani ya shilingi milioni 13 alilotaka kulitoa bure msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ kwenda kwa msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu `Ally Nipishe’ limezua utata kila kona ya jiji. Amani linamwaga ubuyu. Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’. Tangu taarifa hizo zienee, wadau mbalimbali wa muziki na filamu wamekuwa njia panda huku wengine...

 

10 years ago

GPL

BOZI AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE, ASIKITISHWA NA ALLY NIPISHE KUKATAA GARI LAKE

Fatuma Ayubu `Bozi’ katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ leo amehojiwa na Global TV Online ambapo ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu `Ally Nipishe’ kukataa gari alilotaka kumnunulia. Bozi amefunguka hayo wakati akihojiwa katika Exclusive… ...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

New Video: Oscar nyerere & Dr mfyuzi ft Ally Nipishe – Amani

Video mpya kwa ajili ya kusisitiza mambo ya “Amani” kwa nchi ya Tanzania na Africa kwa ujumla,Vijana wawili shaphii omary(drmfyuzi) na Oscar Nyerere wakimshirikisha Ally Nipishe wameona ni vyema watumie vipaji vya uigizaji wa sauti za hayati Baba wa Taifa na Raisi kikwete ili kutunza na kudumisha amani ya nchi yao Tanzania na Africa kwa […]

 

11 years ago

GPL

DIAMOND,PENNY WAMWAGANA!

Stori: shakoor jongo na mayasa mariwata
NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wamemwagana, Risasi Jumamosi limemwagiwa upupu.
...

 

11 years ago

GPL

ISABELA, KALAMA WAMWAGANA

MWISHO umewadia! Ule uchumba wa muda mrefu wa wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda an Kalama Bakari ‘Luteni’ umevunjika kwa kinachoelezwa kuwa ni kukosekana kwa uaminifu baina yao. Wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda 'Bella' na Kalama Bakari ‘Luteni’ wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya Global TV Online hivi karibuni  kabla ya kumwagana. Chanzo makini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani