Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOZI, ALLY NIPISHE MAHABA NIUE!

Mayasa Mariwata Wamenaswa! Mwigizaji asiyeishiwa habari kwenye ulimwengu wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye hivi karibuni alitaka kumzawadia gari msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu ‘Ally Nipishe’, wawili hao wamebambwa laivu waikioneshana mahaba niue. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1KlFp2B

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

BOZI, ALLY NIPISHE WAMWAGANA

Mayasa Mariwata
Kwisha habari! Msanii wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ na mwandani wake ambaye ni Mbongo-Fleva, Ally Nipishe, wamemwagana kwa kile kilichodaiwa kuwa, jamaa huyo anapenda kulelewa. Msanii wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu `Bozi’. Kwa mujibu wa chanzo kilichopo karibu ya wawili hao, Ally Nipishe alikuwa akiishi kwa Bozi maeneo ya Kinondoni-Mkwajuni, Dar ambapo hivi karibuni wametifuana baada ya Bozi...

 

10 years ago

GPL

GARI LA BOZI KWA ALLY NIPISHE LAZUA UTATA

Mayasa mariwata
GARI aina ya Toyota IST lenye thamani ya shilingi milioni 13 alilotaka kulitoa bure msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ kwenda kwa msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu `Ally Nipishe’ limezua utata kila kona ya jiji. Amani linamwaga ubuyu. Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’. Tangu taarifa hizo zienee, wadau mbalimbali wa muziki na filamu wamekuwa njia panda huku wengine...

 

10 years ago

GPL

BOZI AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE, ASIKITISHWA NA ALLY NIPISHE KUKATAA GARI LAKE

Fatuma Ayubu `Bozi’ katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ leo amehojiwa na Global TV Online ambapo ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu `Ally Nipishe’ kukataa gari alilotaka kumnunulia. Bozi amefunguka hayo wakati akihojiwa katika Exclusive… ...

 

11 years ago

GPL

LUNGI NA MAHABA NIUE

MAKUBWA! Baada ya kujichora tatuu mbalimbali mwilini mwake, kuonesha amechizika kimalovee, mwigizaji Lungi Maulanga amechora moja yenye sura ya mpenzi wake ambaye hakutaka kumtaja. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Lungi alisema kuwa ana tatuu 12 mwilini mwake ambazo alizichorea pande za Dubai alipokuwa ameenda kutembea lakini mahaba niue ndiyo yalimtuma achore hiyo yenye muonekano wa...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

SNURA AGANDWA NA MAHABA NIUE

STAA wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi anaonekana kugandwa na mahaba niue baada ya hivi karibuni kuanika hisia zake na kuonesha dhahiri kuwa amezama vilivyo kwenye penzi motomoto la jamaa yake aitwaye Hunter Sleiyum.  Staa wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi akiwa kwenye mahaba mazito na boyfriend wake aitwaye Hunter Sleiyum. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Snura aliwataka wanaume wakware waache kumsumbua kwa sababu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Diamond, Kajala Mahaba Niue!

NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa,  staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue, Risasi Jumamosi limesheheni full stori.

TUJIUNGE NA CHANZO

Kwa mujibu wa chanzo makini, uhusiano wa Diamond na Kajala  unadaiwa kuibuka ghafla miezi kadhaa iliyopita lakini wamekuwa wakifanya siri nzito kabla ya hivi karibuni kukolea zaidi baada ya mpenzi...

 

10 years ago

GPL

MAHABA NIUE YAMFICHA SNURA

Na Mwandishi Wetu MAHABAT! Kuonesha kwamba mahaba yamemkolea, staa wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ amedaiwa kukacha shughuli za muziki na kutumikia penzi lake kwa mahaba motomoto. Staa wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ akiwa na mwandani wake, DJ Hunter. Kudhihirisha hilo, chanzo chetu kimevujisha picha za mrembo huyo akiwa na mchumba wake anayefahamika kwa jina moja la DJ Hunter...

 

10 years ago

GPL

WEMA, IDRIS MAHABA NIUE!

WAANDISHI WETU
WAPENZI? Kwa mara nyingine Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu amesababisha kichwa cha habari kufuatia kunaswa ‘live’ usiku mnene akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan wakioneshana vitendo vya ‘nakupenda tu’ mbele ya kadamnasi, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani