Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!-2

Kama kawa kama dawa mpenzi msomaji wa safu hii ambayo imekuwa ikikuletea mambo matamu yahusuyo ulimwengu wa wapendanao, leo tunaendelea na sehemu ya mwisho ya mada yetu ambayo tuliianza wiki iliyopita. Kwa sababu ya kupenda kwao magari, vijana wa kike na kiume hujikuta wakiachana na wenza wa ndoto zao ambao wangeweza kutengeneza wote maisha, badala yake wanakimbilia kwa mapedeshee au mashugamami ambao kimsingi hawawi na mapenzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!

MAISHA yana-badilika kwa kasi sana kwani kadiri siku zinavyokwenda, mapenzi yamebadilika kutoka katika upendo hadi kuwa kitu ambacho kwa mujibu, asilimia kubwa ni fedha. Watu hawavutiki tena katika uhusiano wa kimapenzi kwa sababu ya kuthamini na kupenda , bali kwa kutazama kitu kutoka kwa anayehitaji na magari yanatajwa kuwa ulimbo mkali unaowanasa vijana wengi. Jamii tunayoishi hivi sasa imezoea kuona wanawake wakiwa ndiyo...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA, BOZI; KUSHOBOKEA WENYE NAZO KUTAWATOKEA PUANI!

KUNA muigizaji mmoja mkubwa nafahamu sana uwezo wake na katika siku za hivi karibuni, amekuwa akinivutia baada ya kumtazama katika kazi zake kadhaa, Shamsa Ford. Halafu kuna huyu mwingine, Fatma Ayoub maarufu kama Bozi, naye anajitahidi kiasi chake. Kwa nyakati tofauti wametoa kauli zilizonifanya nifikirie mara mbilimbili; kwamba wao wanahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye nazo, kwa sababu hawa akina pangu...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga bwana, we acha tu

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likisogeza mbele dirisha la usajili, beki mpya wa Yanga, Vincent Bossou, raia wa Togo ametangaza hali ya hatari kwa washambuliaji wa timu pinzani.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Bemz tz – Acha Wajue

Bemz Tz

Msanii Mpya anaitwa Bemz tz ameachia wimbo unaitwa “Acha Wajue”, Studio Free Nation, Producer T touch.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

ACHA HARAKA, JIFUNZE KUSUBIRI?

NIANZE kwa kuwatakia siku njema ya Jumatano ya kwanza kabisa ya Desemba, ikiwa ni ishara kwamba mwisho wa mwaka unakaribia. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwamba tumekuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuuona mwezi huu, ingawa yatupasa tuombe sana ili tuumalize. Maana mnajua kwa kiasi gani wapendwa wetu walivyopotea na hatutawaona tena. Mada yangu leo kama unavyoweza kuiona hapo juu kwenye kichwa chake cha habari, inawazungumzia zaidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha: Cheka acha uvivu

Kocha Abdallah ‘Comando’ Salehe amemwambia bondia Francis Cheka aache uvivu kwa kisingizio cha kuumia mkono na kumtaka kuendelea kujifua hata kama amefungwa bandeji ngumu mkononi.

 

10 years ago

Mwananchi

Acha unyonge, jiongeze tuyajenge

Baba yenu nilikuwa livu. Siku mbili tatu, nikawa napimana ubavu na mapapaa wa kitaa changu, mbona walikoma na mimi? Nilijiongeza mpaka wakajua labda nahusika na mambo ya Tegeta Escrow, kumbe mikwara tu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani