Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga bwana, we acha tu

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likisogeza mbele dirisha la usajili, beki mpya wa Yanga, Vincent Bossou, raia wa Togo ametangaza hali ya hatari kwa washambuliaji wa timu pinzani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

10 years ago

GPL

ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!-2

Kama kawa kama dawa mpenzi msomaji wa safu hii ambayo imekuwa ikikuletea mambo matamu yahusuyo ulimwengu wa wapendanao, leo tunaendelea na sehemu ya mwisho ya mada yetu ambayo tuliianza wiki iliyopita. Kwa sababu ya kupenda kwao magari, vijana wa kike na kiume hujikuta wakiachana na wenza wa ndoto zao ambao wangeweza kutengeneza wote maisha, badala yake wanakimbilia kwa mapedeshee au mashugamami ambao kimsingi hawawi na mapenzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

GPL

ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!

MAISHA yana-badilika kwa kasi sana kwani kadiri siku zinavyokwenda, mapenzi yamebadilika kutoka katika upendo hadi kuwa kitu ambacho kwa mujibu, asilimia kubwa ni fedha. Watu hawavutiki tena katika uhusiano wa kimapenzi kwa sababu ya kuthamini na kupenda , bali kwa kutazama kitu kutoka kwa anayehitaji na magari yanatajwa kuwa ulimbo mkali unaowanasa vijana wengi. Jamii tunayoishi hivi sasa imezoea kuona wanawake wakiwa ndiyo...

 

10 years ago

GPL

ACHA HARAKA, JIFUNZE KUSUBIRI?

NIANZE kwa kuwatakia siku njema ya Jumatano ya kwanza kabisa ya Desemba, ikiwa ni ishara kwamba mwisho wa mwaka unakaribia. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwamba tumekuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuuona mwezi huu, ingawa yatupasa tuombe sana ili tuumalize. Maana mnajua kwa kiasi gani wapendwa wetu walivyopotea na hatutawaona tena. Mada yangu leo kama unavyoweza kuiona hapo juu kwenye kichwa chake cha habari, inawazungumzia zaidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Rage: Malinzi acha uchaguzi

Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage amemtaka rais wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuachia uchaguzi wa viongozi wa klabu hiyo ufanyike kama ulivyopangwa.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Bemz tz – Acha Wajue

Bemz Tz

Msanii Mpya anaitwa Bemz tz ameachia wimbo unaitwa “Acha Wajue”, Studio Free Nation, Producer T touch.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Habarileo

‘Mkosamali acha kauli za kebehi’

SERIKALI imemtaka Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) kuacha kauli za kebehi na kutembelea vyuo vya umma, kuona namna ambavyo serikali imeendelea kuboresha mazingira ya vyuo hivyo pamoja na kuwepo na mtiririko mdogo wa fedha katika bajeti kusudiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani