Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rage: Malinzi acha uchaguzi

Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage amemtaka rais wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuachia uchaguzi wa viongozi wa klabu hiyo ufanyike kama ulivyopangwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Rage: Chonde Malinzi uchaguzi pale pale

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage. Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, amemuomba Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kutengua maamuzi ya kusitisha tarehe ya uchaguzi wa timu hiyo na kuuacha ufanyike siku iliyopangwa tangu awali.…

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi acha kujitetea, fanya kazi yako TFF

Kila jambo lina na mwanzo na mwisho, au kwa maneno mengine, mwanzo wa leo ni mwisho wa jana na mwisho wa leo ni mwanzo wa kesho. Nakumbuka mwaka jana kwa miezi kadhaa, uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ulikuwa kiini cha mazungumzo kila kona.

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani

Wakati Mahakama Kuu ikimuita mahakamani mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage na baraza lake la wadhamani, wagombea uongozi wa klabu hiyo jana walizindua kampeni zao, huku suala uwanja wake na rasilimali watu likichukua nafasi kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aingilia uchaguzi Simba

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameingilia wa uchaguzi wa Simba baada ya kutangaza kuusimamisha kwa madai ya kutoundwa kwa kamati za maadili.

 

11 years ago

GPL

RAGE: UCHAGUZI SIMBA UPO PALE PALE

Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage. MWENYEKITI wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage amesema kwamba, uchaguzi wa klabu hiyo upo pale pale kama ulivyopangwa Juni 29, mwaka huu kwa sababu si yeye wala Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mwenye uwezo wa kutengua hilo kwa sasa. Akizungumza mjini Dodoma leo mchana, Rage ambaye pia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), amesema kwamba yeye hana mamlaka Kikatiba kwa sasa kubatilisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Rage amtetea Logarusic

Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic aliwasaidia wachezaji wake kupata mabao mawili ingawa hayakusaidia kuepuka kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

Neymar is all the rage among hosts

Anderson Guimaraes walked into a barber shop decorated with Brazil flags to get the latest popular hairstyle in Rio’s slums: The face of football star Neymar sculpted in the back of his head.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani