Rage: Malinzi acha uchaguzi
Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage amemtaka rais wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuachia uchaguzi wa viongozi wa klabu hiyo ufanyike kama ulivyopangwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Rage: Chonde Malinzi uchaguzi pale pale
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage. Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, amemuomba Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kutengua maamuzi ya kusitisha tarehe ya uchaguzi wa timu hiyo na kuuacha ufanyike siku iliyopangwa tangu awali.…
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Malinzi acha kujitetea, fanya kazi yako TFF
Kila jambo lina na mwanzo na mwisho, au kwa maneno mengine, mwanzo wa leo ni mwisho wa jana na mwisho wa leo ni mwanzo wa kesho. Nakumbuka mwaka jana kwa miezi kadhaa, uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ulikuwa kiini cha mazungumzo kila kona.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani
Wakati Mahakama Kuu ikimuita mahakamani mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage na baraza lake la wadhamani, wagombea uongozi wa klabu hiyo jana walizindua kampeni zao, huku suala uwanja wake na rasilimali watu likichukua nafasi kubwa.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Malinzi aingilia uchaguzi Simba
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameingilia wa uchaguzi wa Simba baada ya kutangaza kuusimamisha kwa madai ya kutoundwa kwa kamati za maadili.
10 years ago
Michuzi30 Mar
11 years ago
GPL
RAGE: UCHAGUZI SIMBA UPO PALE PALE
Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage. MWENYEKITI wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage amesema kwamba, uchaguzi wa klabu hiyo upo pale pale kama ulivyopangwa Juni 29, mwaka huu kwa sababu si yeye wala Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mwenye uwezo wa kutengua hilo kwa sasa. Akizungumza mjini Dodoma leo mchana, Rage ambaye pia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), amesema kwamba yeye hana mamlaka Kikatiba kwa sasa kubatilisha...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Rage amtetea Logarusic
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic aliwasaidia wachezaji wake kupata mabao mawili ingawa hayakusaidia kuepuka kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Neymar is all the rage among hosts
Anderson Guimaraes walked into a barber shop decorated with Brazil flags to get the latest popular hairstyle in Rio’s slums: The face of football star Neymar sculpted in the back of his head.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania