Rage amtetea Logarusic
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic aliwasaidia wachezaji wake kupata mabao mawili ingawa hayakusaidia kuepuka kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Samatta amtetea Messi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa Kimataifa anayechezea klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo, Mbwana Samatta, amemkingia kifua mchezaji mwenzake wa klabu ya Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa hana ujanja wa kughushi mkataba.
Mkataba wa miaka miwili wa mchezaji huyo unadaiwa umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai, mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa kwenye kambi ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’,...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Samata amtetea Kapombe
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Phiri amtetea Sserunkuma
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Manji amtetea Magari
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Pondamali amtetea Kaseja
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Askari amtetea mtuhumiwa mahakamani
KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Macha imechukua sura mpya baada ya askari polisi E.2982 Johanes Mgendi kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo. Mgendi ambaye ni mtaalamu wa...
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mourinho amtetea refa Artkinson
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Maximo amtetea Mbrazili wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzqSB6cRQ5IztVW-o4-jBaQgVRidjioykRifPzcairFnZkG6MLdXRy*zuwZFmOuDHLTJem2z6b6ucL87Frs2c8R/shilole.jpg)
SHILOLE AMTETEA SERENGETI BOY WAKE