Maximo amtetea Mbrazili wake
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo na baadhi ya mashabiki wamemtetea mshambuliaji wa timu hiyo, Jaja kuwa ni mchezaji wa ndani ya eneo la hatari pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzqSB6cRQ5IztVW-o4-jBaQgVRidjioykRifPzcairFnZkG6MLdXRy*zuwZFmOuDHLTJem2z6b6ucL87Frs2c8R/shilole.jpg)
SHILOLE AMTETEA SERENGETI BOY WAKE
Stori: Gladness Mallya MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametetea maisha yake ya kimapenzi na Nuh Mziwanda, akisema madai kwamba ni kijana mdogo kuliko yeye, siyo kweli kwani wanalingana umri. Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ “Mimi na Mziwanda wangu tunalingana kiumri lakini...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s640/MMGM0139.jpg)
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND0PgznUWJ4IWlrgvSGjKWl95f1SKtQxA5V7sg2WKqDCnb545LjZ7DpkzYSTFgMx5QZfrqUQ0TFjTKyUDR*qbcNh/MAXIMO.jpg?width=650)
MAXIMO ATAJA WASAIDIZI WAKE, NI WABONGO
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
KOCHA Marcio Maximo kutoka Brazil, tayari ameupitia mkataba wa kuanza kufanya kazi Yanga na kusema: “Nitaanza kazi na (Charles) Mkwasa pamoja na (Juma) Pondamali.â€
Awali kulikuwa na hofu huenda kocha huyo angetaka kutua nchini na msaidizi wake kutoka Brazil lakini sasa atalazimika kuwataja wazawa hao katika benchi lake la ufundi. Habari za uhakika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CojOOnWqmPbhBRu961w2QXL19VRlEtvqNGPmmaS5ay6NY*uCjFjEOLC5H3Anx180Q*5IRacsdPg7AMGAD5EAjRa/1dar.jpg)
Mbrazili mpya atua Yanga SC
Mshambuliaji mpya wa Yanga,Genilson Santana Santos ‘Jaja’ Na Mwandishi Wetu
SASA Yanga imekamilika, kwa kuwa yule mshambuliaji raia wa Brazil, anatua nchini kati ya kesho au keshokutwa.Genilson Santana Santos ‘Jaja’, anatarajia kutua nchini akiongozana na wakala wake ili kumalizana na wakongwe hao wa soka nchini. Jaja ambaye anasifika kwa mashuti, pasi zinazozaa mabao, amefunga zaidi ya mabao 10 akiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNNxlOs3veOZmwZO8tmATmYmKSGs*5LQ-bWzKxPSo*ONzv-I3Om-2GWRZxzqaVPZ2OIMuK3V7-ORdXHy-JG1-Rj/tinyo.jpg)
Coutinho awaletea Simba... beki Mbrazili
Kiungo wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho. Na Said Ally
KIUNGO wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho, ameushauri uongozi wa Simba katika kipindi hiki cha usajili, iende nchini humo kusajili beki hatari.Coutinho yupo nchini kwao kwa ajili ya mapumziko ya siku 10 waliyopewa na uongozi wa timu hiyo baada ya kusimama kwa ligi. Akizungumza na Championi Jumatatu moja kwa moja kutoka Brazil, Coutinho alisema kama viongozi wa Simba...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mbrazili wa Yanga apewa onyo kali
Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amempa tahadhari kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili Emerson De Oliveira Neves Roque kuwa atarajie kukutana na wakati mgumu kwenye Ligi Kuu kama ilivyotokea kwa Mbrazili mwenzake, Genilson Santos ‘Jaja’ aliyegoma kuendelea kuichezea timu hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlQ-5NTlQa4RGmpBNmQVaWX*oGiLpZ*rhLraM55*-4O9mPeMCFRBoNqUheiBhrS-4uWPu7lBlNbT*xH9SpvVEle/mbrazil.gif?width=650)
MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR
Coutinho akiwa katika pozi. Na Richard Bukos
KIUNGO mshambuliaji wa Kibrazili, Andrey Coutinho, aliyetua jana (Ijumaa), kutoka nchini humo kuja kukipiga kwenye timu ya Yanga, jana alitua na mkosi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, baada ya gari lililoenda kumchukua kufungwa nyororo na wasimamizi wa maegesho ya magari uwanjani hapo. Katika sakata hilo mchezaji huyo baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKgCd9CC4QZ5Wb4X5MHietvBXRZ-ipwrP5l8SOBl4dI68*K8vgaOiFVzxZl3Pg4IIU8MbopipvVRK7CvCXAcIs1/OSAMA1.jpg?width=650)
MBRAZILI AJIFAFANISHA NA OSAMA ILI AINGIZE PESA
Osama wa Brazili akionesha baadhi ya picha alizopiga na watu maarufu. Osama wa Brazil akiwa katika eneo lake la kupigia picha na wateja.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania