Samata amtetea Kapombe
Mshambuliaji wa TP Mazembe na Tanzania, Mbwana Samata amesema watu wasiwe mahiri wa kuwalaumu wachezaji wanaorudi nchini kutoka nje ya nchi kwa majaribio kwani kuna mambo mengi magumu ambayo hayavumiliki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKto75Soh3cdMRjM10Cpyz6ZOkEudx7nUn1aoA6tkOnaxOTLJOMbufl-1Yq-IOzDwfLqrkkRX*XXh012ykPkOgdUE/Kapombe.jpg?width=650)
Kapombe wa Yanga
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Manji amtetea Magari
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Rage amtetea Logarusic
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Pondamali amtetea Kaseja
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Phiri amtetea Sserunkuma
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Samatta amtetea Messi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa Kimataifa anayechezea klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo, Mbwana Samatta, amemkingia kifua mchezaji mwenzake wa klabu ya Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa hana ujanja wa kughushi mkataba.
Mkataba wa miaka miwili wa mchezaji huyo unadaiwa umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai, mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa kwenye kambi ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIiPj1MydQhba3n9ZqYHEx2pExu9XvffUA-q0F*z4Kp9DahzrJ22Rg*1lDQVymv3tzsX7voZ86II8SSQbmyeuU6/simba.jpg?width=650)
Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Kapombe: Maslahi yamenirudisha nyumbani