Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kapombe wa Yanga

Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BAADA ya chenga za hapa na pale, kila kitu sasa kimewekwa hadharani kwamba beki wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, ametaka mkataba wake na AS Cannes ya Ufaransa uvunjwe na imeelezwa anataka kubaki nchini na kujiunga na Yanga. Habari za uhakika kutoka ndani ya AS Cannes nchini Ufaransa na kuthibitishwa na wakala wake anayeishi nchini Uholanzi, zimeeleza Kapombe amefanya mazungumzo na Yanga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Wafaransa wamkabidhi Kapombe Yanga kwa Sh 154m

Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
KLABU ya AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne Ufaransa, hatimaye imetangaza kumuuza beki wake Shomari Kapombe. Uongozi wa AS Cannes umesema bei ya Kapombe ambaye bado yuko hapa nchini ni euro 70,000 (Sh milioni 154) huku ikitaja majina ya klabu mbili, Yanga na Azam FC wanakaribishwa kuanza mazungumzo.
Awali, gazeti hili lilipata taarifa za ndani kuhusiana na uamuzi huo, lakini uongozi...

 

11 years ago

Mwananchi

Samata amtetea Kapombe

Mshambuliaji wa TP Mazembe na Tanzania, Mbwana Samata  amesema watu wasiwe mahiri wa kuwalaumu wachezaji wanaorudi nchini kutoka nje ya nchi kwa majaribio kwani kuna mambo mengi magumu ambayo hayavumiliki.

 

11 years ago

Mwananchi

Msola: Kapombe hajakosea Azam

Baada ya kuwapo kwa taarifa za uhakika za  beki Shomari Kapombe kujiunga Azam FC, kocha wa zamani wa Taifa Stars ametetea uamuzi wa mchezaji huyo kuwa amefanya uamuzi sahihi na muda mwafaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Kapombe: Maslahi yamenirudisha nyumbani

Bado kuna ubishi mwingi kwa mashabiki wa soka kuhusu ubora wa mabeki wa pembeni wanaocheza Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

GPL

Shomari Kapombe atangaziwa kifungo

Na Hans Mloli
KLABU ya AS Cannes ya Ufaransa imetangaza kuwa kama itaona suala la utovu wa nidhamu linaendelea kwa beki wake, Shomari Kapombe, basi itamfungia mara moja. AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, imeonyesha kuchoshwa na danadana kuhusiana na Kapombe. Lakini wakati ikitangaza hali hiyo, taarifa zinaeleza Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limeingilia suala hilo.
Mmoja wa maofisa wa AS...

 

11 years ago

GPL

Simba yampiga pini kapombe

Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za beki Shomari Kapombe kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC zimetibua mambo na Simba imeamua kuanika mkataba wake. Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa ambayo Kapombe anaichezea, ilisema imepata taarifa za mchezaji huyo kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC na wakala wake, Denis Kadito anayeishi nchini Uholanzi akalithibitisha hilo. Lakini uchunguzi wa Championi Jumatano...

 

11 years ago

GPL

Azam yamtangaza rasmi Kapombe

Kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
KLABU ya Azam, jana ilimtangaza rasmi kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe kuwa msimu ujao atavaa jezi zao.
Kapombe aliondoka Simba na kujiunga na timu ya Daraja la Nne ya Ufaransa, As Cannes, lakini mwishoni mwa mwaka jana alitua nchini kuichezea Taifa Stars, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kugoma kurudi tena Ufaransa. Kapombe alizungumza mambo...

 

11 years ago

GPL

Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe

Shomari Kapombe. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Simba SC, imesema inasubiria mamilioni ya fedha kutoka kwa Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa kutokana na mauzo ya Shomari Kapombe kwa Azam FC. Simba ilimpeleka nyota huyo Ufaransa mwaka jana, kwa makubaliano maalum, kuwa iwapo timu hiyo itafanikiwa kumuuza nyota huyo ndani ya miaka mitatu, basi wataambulia asilimia 40 za mauzo hayo huku 40 nyingine zikiliwa na Cannes wakati 20...

 

11 years ago

GPL

Wafaransa wampa Kapombe Sh milioni 127

Beki Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BEKI Shomari Kapombe atachota kitita cha dola 86,000 (zaidi ya Sh milioni 127) kwa mwaka kutoka Simba. Kapombe ambaye ana mkataba wa miaka miwili na Klabu ya AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, pia ameingia mkataba na Simba ambao utamwezesha kupata fedha hizo. Katika mkataba huo na Simba uliosaini Agosti 19,2013 ambao gazeti hili lina nakala yake, kuna vipengele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani