Wafaransa wamkabidhi Kapombe Yanga kwa Sh 154m

Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu KLABU ya AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne Ufaransa, hatimaye imetangaza kumuuza beki wake Shomari Kapombe. Uongozi wa AS Cannes umesema bei ya Kapombe ambaye bado yuko hapa nchini ni euro 70,000 (Sh milioni 154) huku ikitaja majina ya klabu mbili, Yanga na Azam FC wanakaribishwa kuanza mazungumzo. Awali, gazeti hili lilipata taarifa za ndani kuhusiana na uamuzi huo, lakini uongozi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Wafaransa wampa Kapombe Sh milioni 127
11 years ago
GPL
Kapombe wa Yanga
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
UNHCR wamkabidhi gari mpya Waziri Chikawe, kwa ajili ya Idara ya Wakimbizi nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...
5 years ago
Michuzi
TAG Njombe wamkabidhi milioni mbili Ole Sendeka kwa ajili ya kupambana na Corona
10 years ago
Vijimambo10 Jan
TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wafaransa 4 waaga Argentina
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chakufuliwa
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chafukuliwa