TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA
Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akiandika salamu za rambirambi kufuatia tukio linaloelezwa kuwa la kigaidi ambapo watu kumi na mbili wakiwamo waandishi wa gazeti la Charlie Hebdo waliuawa.
Balozi Tuvako Manongi akibadilishana mawazo na Mabalozi wenzie muda mfupi kabla ya kusaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa, kufuatia tukio la jumatano ambapo watu kumi na mbili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA KUFUATIA MAUAJI YALIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wafaransa 4 waaga Argentina
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chakufuliwa
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chafukuliwa
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Wafaransa 6 wapokonywa vyeti vya usafiri
11 years ago
GPLWafaransa wampa Kapombe Sh milioni 127
10 years ago
Mwananchi05 Oct
DNA yakwamisha kesi ya mahuaji ya Wafaransa Z’bar
11 years ago
GPLWafaransa wamkabidhi Kapombe Yanga kwa Sh 154m