Wafaransa 6 wapokonywa vyeti vya usafiri
Ufaransa imewapokonywa raia 6 vyeti vyao vya kusafiria kwa hofu kuwa walikuwa wanakusudia kujiunga na makundi ya jihad
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Waasi wapokonywa silaha CAR
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Zoezi la vyeti vya kuzaliwa Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Wanaouza vyeti vya kuzaliwa kukiona
SERIKALI imetangaza kuwachukulia hatua kali wote watakaobainika kuuza vyeti vya kuzaliwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela...
11 years ago
Habarileo01 Mar
Vyeti vya kuzaliwa kutolewa shuleni
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini. Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio waliosajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Vyeti vya kukosa ukimwi vyauzwa Uganda
11 years ago
Mtanzania12 Sep
Ukaguzi leseni na vyeti vya madereva waanza

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga
ADAM MKWEPU NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini kuongezeka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la kuchunguza madereva ambao...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Vyeti vya kuzaliwa na simu za mkononi Tanzania