Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
>Raia wawili wa Ufaransa wameuawa na kutumbukizwa katika kisima cha maji kilichomo ndani ya uwanja wa nyumba yao na watu wasiojulikana katika eneo la Shehia ya Matemwe Kaskazini, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 May
Wawili wauawa Texas
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042226_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504071416_texas_640x360_reuters_nocredit.jpg)
POlisi mjini Texas wamewapiga risasi watu wawili kwa kuwashambulia polisi na risasi
Polisi mjini Texas wanasema kuwa wamewapiga risasi na kuwaua watu wawili waliokuwa na silaha, waliowashambulia walinda usalama kwa risasi, walipofika katika eneo la hafla moja yenye utata ya uchoraji wa vibonzo vya kuwakejeli waislamu na mtume Mohammed.
Duru za habari zasema kuwa kisa cha ushambuliaji wa risasi kimefanyika katika sherehe moja, iliyokuwa ikifanyika mjini Dallas, mahala ambapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAWILI WAUAWA KANISANI KENYA
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Joy Jesus wakiwa nje ya kanisa baada ya shambulio hilo. WATU wawili wameuawa wakati wengine kumi wakijeruhiwa baada ya mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa la Joy Jesus huko Lokoni, karibu na Mombasa nchini Kenya. Maafisa wa polisi katika wilaya ya Likoni iliyopo kusini mwa Mombasa wamesema kuwa jambazi huyo alilivamia kanisa hilo na kuanza kuwafyatulia risasi...
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Waandishi wawili wauawa Afghanistan
Waandishi wawili wa habari wanawake wa kigeni wameuawa nchini Afghanistan.
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
Maafisa wawili wa polisi mjini New York Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi walipokuwa ndani ya gari lao eneo la Brooklyn.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.
10 years ago
Habarileo22 Dec
Wawili wauawa kwa kipigo
WATU wawili wameuawa kwa kipigo wilayani Tarime mkoani Mara, akiwemo mwanamke, aitwaye Suzan Bhoke (34), raia wa Kenya aliyekuwa akiishi kimapenzi na Eddy Clement, mkazi wa Kitongoji cha Forodhani katika mji mdogo wa Sirari.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Polisi wawili wauawa nchini Misri
Maafisa wawili wa polisi nchini Misri wameuawa kufuatia shambulizi la risasi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania