Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chafukuliwa
>Kazi ya kutafuta mabaki ya miili ya raia wawili wa Ufaransa waliouwawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na kutupwa katika kisima huko Matemwe katika Mkoa wa Kaskazini, imekamilika, imefahamika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chakufuliwa
Kazi ya kutafuta mabaki ya miili ya raia wawili wa Ufaransa waliouwawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na kutupwa katika kisima huko Matemwe katika Mkoa wa Kaskazini, imekamilika, imefahamika.
10 years ago
MichuziMakabidhiano ya Pampu ya Maji Kisima cha Kaburi Kikombe na Utilianaji Saini ya Mradi wa Uchimbaji Kisima Bomani Ukiwa na Thamani ya Shilingi milioni mia tatu
10 years ago
VijimamboMAKABIDHIANO YA PUMPU YA MAJI KISIMA CHA KABURI KIKOMBE NA UTILIANAJI SAINI YA MRADI WA UCHIMBAJI KISIMA BOMANI UKIWA NA THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA TATU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2biPeroMiKav2aIDpxUCae0wowE6xzg8D1Kapl67tgyxg4YqM1*wVSXOsEzICLeFpMWOWaqqj9asaG6rNCc54aC/africabusinesskinshasa.jpg?width=650)
KABURI MOJA WALIMOZIKWA WATU 425 LAGUNDULIKA KINSHASA-DRC
Mji wa Kinshasa-DRC. Vyombo vya habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vimeripoti kuwa, kaburi kaburi la umati ambamo kulizikwa mamia ya watu limegundulika karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa. Waziri wa Mambo ya Ndani wa DRC, Evariste Boshab Mabudj Kanali wa RTBFTV wa Kongo ametangaza kuwa, zaidi ya watu 425 walizikwa pamoja ndani ya kaburi hilo. Hata hivyo vyombo vya habari vina shaka juu ya namna ambavyo mauaji...
10 years ago
Vijimambo10 Jan
TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wafaransa 4 waaga Argentina
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
>Raia wawili wa Ufaransa wameuawa na kutumbukizwa katika kisima cha maji kilichomo ndani ya uwanja wa nyumba yao na watu wasiojulikana katika eneo la Shehia ya Matemwe Kaskazini, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8EZhQWRVD*oZ8jHvCGUtOZuURfKGvmiNUySD82yBWJgKwGOsTBrozMzjpvSistdS8MqwGa5ZTM3C23Uk-4Zmvf/WAFARANSA.jpg?width=650)
Wafaransa wampa Kapombe Sh milioni 127
Beki Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BEKI Shomari Kapombe atachota kitita cha dola 86,000 (zaidi ya Sh milioni 127) kwa mwaka kutoka Simba. Kapombe ambaye ana mkataba wa miaka miwili na Klabu ya AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, pia ameingia mkataba na Simba ambao utamwezesha kupata fedha hizo. Katika mkataba huo na Simba uliosaini Agosti 19,2013 ambao gazeti hili lina nakala yake, kuna vipengele...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Wafaransa 6 wapokonywa vyeti vya usafiri
Ufaransa imewapokonywa raia 6 vyeti vyao vya kusafiria kwa hofu kuwa walikuwa wanakusudia kujiunga na makundi ya jihad
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania