Wafaransa wampa Kapombe Sh milioni 127
![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8EZhQWRVD*oZ8jHvCGUtOZuURfKGvmiNUySD82yBWJgKwGOsTBrozMzjpvSistdS8MqwGa5ZTM3C23Uk-4Zmvf/WAFARANSA.jpg?width=650)
Beki Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu BEKI Shomari Kapombe atachota kitita cha dola 86,000 (zaidi ya Sh milioni 127) kwa mwaka kutoka Simba. Kapombe ambaye ana mkataba wa miaka miwili na Klabu ya AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, pia ameingia mkataba na Simba ambao utamwezesha kupata fedha hizo. Katika mkataba huo na Simba uliosaini Agosti 19,2013 ambao gazeti hili lina nakala yake, kuna vipengele...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YuIe4gu*R5Dhs9h*Ka*jEQLt-55m7v1CYugHlKnU0O-SkqtlHNCDLLOjbcGoffYF4gq9mk-BmAmTRvAmQTiwkH5/WAFARANSA.jpg?width=631)
Wafaransa wamkabidhi Kapombe Yanga kwa Sh 154m
11 years ago
Michuzi25 May
MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE
![DSC_0025](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
![DSC_0133](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0133.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake
Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.
Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.
Mbunge...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127
10 years ago
Vijimambo10 Jan
TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wafaransa 4 waaga Argentina
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chakufuliwa