Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127
Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/86.jpg)
AJALI YAUA WATU 42 UFARANSA
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Misururu ya mashambulizi yatikisa Iraq
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Magaidi walijifanya wahamiaji:Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mashambulizi:aliyehusika asakwa Ufaransa
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Magaidi waua watu 6 Kenya
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Watu 127 Wathibitishwa kuambukizwa corona Kenya