Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127

Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

9 years ago

GPL

AJALI YAUA WATU 42 UFARANSA

Baadhi ya majeruhi katika ajali hiyo wakipatiwa huduma ya kwanza. TAKRIBANI watu 42 waliokuwa wakienda kutalii wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori katika barabara moja kusini magharibi mwa Ufaransa kisha magari yote kuungua kwa moto. Ajali hiyo imetokea karibu na Puisseguin eneo la Gironde mashariki mwa Bordeaux, muda mfupi baada ya basi hilo kuanza safari kutoka mji ulio karibu. Rais wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Misururu ya mashambulizi yatikisa Iraq

Watu 24 wameuawa katika msururu wa milipuko ya mabomu katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magaidi walijifanya wahamiaji:Ufaransa

Waziri mkuu wa Ufaransa,Manuel Valls, amesema kwamba waliotekeleza shambulio walijifanya Wahamiaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa

Waendesha mashtaka nchini Ufaransa watakiwa kuchukua hatua dhidi ya Magaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi:aliyehusika asakwa Ufaransa

Polisi imetoa picha ya raia wa Ufaransa anayetafutwa akihusishwa na mashambulio ya jijini Paris

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 127 Wathibitishwa kuambukizwa corona Kenya

Idadi ya maambukizi ya corona Kenya yazidi kuongezeka kila uchao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani