Mashambulizi:aliyehusika asakwa Ufaransa
Polisi imetoa picha ya raia wa Ufaransa anayetafutwa akihusishwa na mashambulio ya jijini Paris
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127
Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaT1HaeGc9tU0fp7NdBsdvaF9IPWhWf6zKn1-Z5gRiz0jS7VIJc6Ehg-nsrsE6SktGU1mW2wuLWOzb81skbMHG3/dudub.jpg)
DUDUBAYA ASAKWA NA POLISI
Stori:Â Mwandishi Wetu
MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’ anasakwa na polisi kwa RB namba OB/RB/11650/2014 KUTISHIA KUUA mganga wa jadi Mery Kapalisya ambaye inadaiwa alikuwa akiishi naye kama mkewe. Mkongwe wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya' . Akisimulia mkasa mzima, Mery alisema Dudubaya alitishia kumuua mara baada ya kumfukuza katika nyumba waliyokuwa wakiishi pamoja maeneo ya...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Yanukovich asakwa Ukraine
Waranti ya kumtia mbaroni aliyekuwa rais wa Ukraine Viktor Yanukovitch imetolewa na mahakama.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlgpnB3UagVpEM0WXGEqPGhcLVXilQtAayjdmkPG7dg9TYYnlLdJP0CTtxdEt8SRH0JGwS9cK6YAYXIgMFvBiVs/MWANA.jpg)
MWANA FA ASAKWA AUAWE
Stori: Musa Mateja
STAA Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’, anasakwa na watu wasiojulikana ili wamuue, baada ya kutumiwa ujumbe wenye vitisho hivyo katika akaunti yake ya mtandao wa Facebook. Staa wa Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’. Akizungumza na paparazi wetu Juni 11 mwaka huu, Mwana FA alisema alishangazwa kukuta ujumbe huo ambao hata hivyo, hajui aliyemtumia ni nani. Katika kutaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod1v0atBWTFUgjNtebfz1g1i7u7JIg2Oa2MUAovk*t6M4T4lqVFuGcndGWfhQDWcJ3sCt6IQdB1nNjMd3laZFCxR/siwema22.jpg?width=650)
JOKATE ASAKWA KWA UTAPELI!
Mayasa Mariwata na Hamida Hassan Skendo? Wakati akiwa na mkataba wa shilingi bilioni nane na nusu wa bidhaa zenye nembo yake kutoka Kampuni ya Rainbow Shell Craft, mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amekwaa kashfa ya utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ shilingi elfu sabini za msanii wa Bongo Fleva anayefahamika kwa jina la Abdallah Hamis ‘Planet’, Ijumaa Wikienda lina mchapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F4cASti*RDamlg8ENh*yn7tprQ6GrmCwcd2DBPQFNkSh0WmEzVRhKJxfbHBiuT0lJxg0L033vSU8TJGrzLg4S*/jik.jpg?width=650)
BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE
Bw. Salum anayesakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpachika mimba binti yake wa kambo.
Waandishi wetu
MUNGU wangu! Mwanaume mmoja mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Salum, anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito bintiye wa kambo (jina limehifadhiwa). Binti anayedaiwa…
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Asakwa kwa kunyonga mtoto
JESHI la Polisi mkoani Geita linamsaka Shija Hamisi (28), mkazi wa Kijiji cha Ibamba kwa tuhuma za kumuua mtoto wake mwenye umri wa wiki mbili kwa kumnyonga kwa wivu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania