Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANA FA ASAKWA AUAWE

Stori: Musa Mateja
STAA Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’, anasakwa na watu wasiojulikana ili wamuue, baada ya kutumiwa ujumbe wenye vitisho hivyo katika akaunti yake ya mtandao wa Facebook. Staa wa Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’. Akizungumza na paparazi wetu Juni 11 mwaka huu, Mwana FA alisema alishangazwa kukuta ujumbe huo ambao hata hivyo, hajui aliyemtumia ni nani. Katika kutaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe nusu auawe

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kushoto) akiwa amekabwa roba na mchezaji wa JKT Ruvu,  George Osei (kulia). Na Wilbert Molandi
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe, ameweka wazi kwamba mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting ambayo walimaliza kwa suluhu juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar, haikuwa ya soka na yeye alinusurika kuuawa.… ...

 

10 years ago

GPL

HAUSIGELI NUSURA AUAWE

Makongoro Oging’ na Shani Ramadhan
Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu. Rehema Ally akiwa na majeraha mwilini mwake baada ya kujeruhiwa. Akizungumza na Uwazi nyumbani kwa mwajiri wake aliyejulikana kwa jina moja la...

 

10 years ago

GPL

MAMA WA FEZA NUSURA AUAWE

Stori: Mwandishi Wetu
WAKATI hofu ya mauaji ya wanawake ikiwa bado imetanda mkoani Arusha, mama mzazi wa mshiriki wa shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy ameponea chupuchupu baada ya kuvamiwa na majambazi wawili kisha kuporwa fedha. Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu kutoka jijini humo, Feza alisema mama yake aitwaye Rose Kessy alikutwa na masaibu hayo...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba Haji adai anasakwa auawe!

BABA_HAJIMwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’.

Mwandishi wetu
Roho mkononi! Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameviomba vyombo vya dola, TCRA na Rais John Pombe Magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni, Baba Haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya wakiwa na lengo la kumuua bila sababu hivyo kwa sasa anatembea na...

 

11 years ago

GPL

MREMBO NUSURA AUAWE KISA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging'
MREMBO mmoja mkazi wa Mabibo Makutano jijini Dar es Salaam (jina lake halikupatikana) mwishoni mwa wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kuvamiwa na kudundwa baada ya kudaiwa kukwapua simu ya mwanaume na kuificha sehemu zake za siri. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, awali mrembo huyo alikuwa akila bata na mwanaume aitwaye Hashim kwenye Baa ya Jassun Inn iliyopo maeneo ya Mabibo...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE: KIJANA NUSURA AUAWE KWA WIZI, MAMA YAKE AINGILIA KATI

Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo. Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na...

 

11 years ago

GPL

DUDUBAYA ASAKWA NA POLISI

Stori:  Mwandishi Wetu
MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’ anasakwa na polisi kwa RB namba OB/RB/11650/2014 KUTISHIA KUUA mganga wa jadi Mery Kapalisya ambaye inadaiwa alikuwa akiishi naye kama mkewe. Mkongwe wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya' . Akisimulia mkasa mzima, Mery alisema Dudubaya alitishia kumuua mara baada ya kumfukuza katika nyumba waliyokuwa wakiishi pamoja maeneo ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanukovich asakwa Ukraine

Waranti ya kumtia mbaroni aliyekuwa rais wa Ukraine Viktor Yanukovitch imetolewa na mahakama.

 

9 years ago

Mwananchi

Aliyegombea ubunge asakwa na Polisi

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamtafuta aliyekua mgombea  wa ubunge  kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rogers Ruhega kwa tuhuma za kuhusika na shambulio la kudhuru mwili  wa Moshi Paul akiwa na vijana wengine 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani