Yanukovich asakwa Ukraine
Waranti ya kumtia mbaroni aliyekuwa rais wa Ukraine Viktor Yanukovitch imetolewa na mahakama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlgpnB3UagVpEM0WXGEqPGhcLVXilQtAayjdmkPG7dg9TYYnlLdJP0CTtxdEt8SRH0JGwS9cK6YAYXIgMFvBiVs/MWANA.jpg)
MWANA FA ASAKWA AUAWE
Stori: Musa Mateja
STAA Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’, anasakwa na watu wasiojulikana ili wamuue, baada ya kutumiwa ujumbe wenye vitisho hivyo katika akaunti yake ya mtandao wa Facebook. Staa wa Bongo Fleva, Hamisi Mwinjuma, ‘Mwana FA’. Akizungumza na paparazi wetu Juni 11 mwaka huu, Mwana FA alisema alishangazwa kukuta ujumbe huo ambao hata hivyo, hajui aliyemtumia ni nani. Katika kutaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaT1HaeGc9tU0fp7NdBsdvaF9IPWhWf6zKn1-Z5gRiz0jS7VIJc6Ehg-nsrsE6SktGU1mW2wuLWOzb81skbMHG3/dudub.jpg)
DUDUBAYA ASAKWA NA POLISI
Stori:Â Mwandishi Wetu
MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’ anasakwa na polisi kwa RB namba OB/RB/11650/2014 KUTISHIA KUUA mganga wa jadi Mery Kapalisya ambaye inadaiwa alikuwa akiishi naye kama mkewe. Mkongwe wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya' . Akisimulia mkasa mzima, Mery alisema Dudubaya alitishia kumuua mara baada ya kumfukuza katika nyumba waliyokuwa wakiishi pamoja maeneo ya...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mashambulizi:aliyehusika asakwa Ufaransa
Polisi imetoa picha ya raia wa Ufaransa anayetafutwa akihusishwa na mashambulio ya jijini Paris
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Aliyegombea ubunge asakwa na Polisi
Jeshi la Polisi mkoani Geita linamtafuta aliyekua mgombea wa ubunge kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rogers Ruhega kwa tuhuma za kuhusika na shambulio la kudhuru mwili wa Moshi Paul akiwa na vijana wengine 25.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod1v0atBWTFUgjNtebfz1g1i7u7JIg2Oa2MUAovk*t6M4T4lqVFuGcndGWfhQDWcJ3sCt6IQdB1nNjMd3laZFCxR/siwema22.jpg?width=650)
JOKATE ASAKWA KWA UTAPELI!
Mayasa Mariwata na Hamida Hassan Skendo? Wakati akiwa na mkataba wa shilingi bilioni nane na nusu wa bidhaa zenye nembo yake kutoka Kampuni ya Rainbow Shell Craft, mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amekwaa kashfa ya utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ shilingi elfu sabini za msanii wa Bongo Fleva anayefahamika kwa jina la Abdallah Hamis ‘Planet’, Ijumaa Wikienda lina mchapo...
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Jambazi sugu asakwa Tanzania
Polisi Nchini Tanzania wanamsaka mtu mmoja mwenye silaha, ambaye amewauwa watu wanane kwa kuwapiga risasi na kuwajeruhi wengine 3.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F4cASti*RDamlg8ENh*yn7tprQ6GrmCwcd2DBPQFNkSh0WmEzVRhKJxfbHBiuT0lJxg0L033vSU8TJGrzLg4S*/jik.jpg?width=650)
BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE
Bw. Salum anayesakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpachika mimba binti yake wa kambo.
Waandishi wetu
MUNGU wangu! Mwanaume mmoja mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Salum, anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito bintiye wa kambo (jina limehifadhiwa). Binti anayedaiwa…
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Asakwa kwa kunyonga mtoto
JESHI la Polisi mkoani Geita linamsaka Shija Hamisi (28), mkazi wa Kijiji cha Ibamba kwa tuhuma za kumuua mtoto wake mwenye umri wa wiki mbili kwa kumnyonga kwa wivu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania