Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T85m6vlaQos/VUSJ7TT1O2I/AAAAAAABNK0/NNYhdfBDo7I/s72-c/11200605_977266418984073_4328749233319315744_n.jpg)
ALI KIBA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE NA WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-T85m6vlaQos/VUSJ7TT1O2I/AAAAAAABNK0/NNYhdfBDo7I/s1600/11200605_977266418984073_4328749233319315744_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HYoBJ-Y7_sQ/VUSJ740SXxI/AAAAAAABNK8/Fx1tD2zUBHU/s1600/11109203_977266338984081_5252907229101619459_n.jpg)
9 years ago
StarTV30 Sep
Kisa cha Zaidi ya watu 60 wanaodhaniwa wafuasi wa Chadema kutiwa mbaroni hiki hapa:
Polisi mkoani Iringa inawashikilia zaidi ya watu sitini wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa tuhuma za kuhatarisha amani kwenye barabara inayotoka katika uwanja wa michezo wa Samaro kwenda Kihesa.
Tukio hilo limetokea wakati Chama cha Mapinduzi CCM kupitia kwa mgombea wake wa Urais Dokta John Magufuli kufanya mkutano wa Kampeni za Urais kwenye uwanja wa michezo wa Samora Mjini Iringa.
Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu,hali ya kuanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PHbtIw7zbFs/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
10 years ago
Vijimambo28 Jan
JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-RKmObP6j5AM/VMd_9vjyxVI/AAAAAAABWZw/skU7PlaE0GI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BRadio%2BCity%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9X71XUVzyE8/VMeAQP6EJuI/AAAAAAABWao/ZToDUvbsIrw/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BMadison%2BAvenue%2BEmpt.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_yrQZt0bc0E/VMeANC-JxWI/AAAAAAABWag/U8LVWdMG9FQ/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BTemple%2BEmanu-el%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9c-OA0OwmqY/VMeAMLQOP4I/AAAAAAABWaY/X1i53HDt8f0/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B6th%2BAvenue%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-wjRDShw-AtE/VMcJjprS3CI/AAAAAAAACYU/MTFUEZbIvwM/w1185-h889-no/new-york-city-snowstorm-epic-january-2015.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XU0bAaEIqC8/VMeAKjJz30I/AAAAAAABWaQ/eGEF4hX-IH4/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2BMadison%2BAvenue%2B%281%2Bof%2B1%29-2.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-jFqBacQk5Vs/VMeAJTUHRII/AAAAAAABWaI/Vny21e5wSZI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BBergdorf%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-GM8wYz4Onic/VMeADMkWtAI/AAAAAAABWaA/gg72pf0QSZ4/w1277-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BNear%2BTimes%2BSquare.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.
“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s72-c/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s640/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
9 years ago
StarTV28 Dec
Zaidi ya watu 1500 wajitangaza kuwa mashoga Iringa
Kukithiri kwa biashara haramu ya ngono pamoja na tabia ya ushoga mkoani Iringa kunadaiwa kusababishwa na baadhi ya vijana wa vyuo vikuu wanafika mkoani humo kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu, huku miongoni mwao wakitaka starehe zilizo nje ya uwezo wao.
Tamaa ya kumiliki vitu vya thamani – ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwahadaa baadhi ya wasomi hao wa vyuo vikuu, jambo linalosababisha wengi wao kuangukia katika wimbi la biashara ya ngono na ushoga na kuufanya ongezeko la maambukzi...
11 years ago
Bongo525 Jul
Steve Nyerere anusurika kuvamiwa na watu wenye mapanga