Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumbani kwa Ali Kiba baada ya kuvamiwa na Majambazi zaidi ya 15.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALI KIBA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE NA WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI

 Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho waliweza kubeba, walimpiga na kumtesa mlinzi wa nyumba hiyo wakimtaka awaonyeshe alipo Ali Kiba, hata hivyo hawakufanikiwa...

 

10 years ago

GPL

JOKATE:: SIJAFUKUZWA NYUMBANI KWA ALI KIBA

Shani ramadhani Not true! Staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amekanusha vikali madai kwamba hivi karibuni alitimuliwa nyumbani kwa ‘mtu’ wake, Ali Saleh Kiba maeneo ya Kunduchi-Beach, Dar. Awali ilisemekana kwamba, mama mzazi wa Kiba ndiye aliyemtimua Jokate kwa kigezo kuwa hamkubali kwani mwanaye ana mchumba mwingine ambaye yupo nje ya nchi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1UhirLT ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Ushauri wa Bure Kwa Ali Kiba Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Tafuta Watu wa Kukutungia Nyimbo

Anyways, leo nimepata chance ya kusikiliza nyimbo mpya ya Ali Kiba fasta fasta….I like Ali Kiba’s music but I think he needs to grow kimuziki. Mie naona toka arudi kwenye gemu nyimbo zake zimeshuka kiwango sio nzuri kama za zamani… Au labda tuseme yani nyimbo zake zote ni vile vile yani hazina tofauti.Yani they sound identical.Anabadilisha vitu vidogo vidogo sana…… Nyimbo zake za zamani zilikuwaga nzuri sana , ila pia yawezekana za sasa hivi zinaoneka sio nzuri sababu zimefanana na za...

 

11 years ago

GPL

ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA

Elizabeth Michael 'Lulu'. Kupitia Account yake ya Instagram msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' amefunguka kuhusiana na Ali Kiba kuachia nyimbo mbili kwa mpigo. Muonekano wa alichokisema Elizabeth Michael 'Lulu' Instagram. Hiki  ndicho alichokisema: "Haya sasa.....maelezo hatimaye…

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu Ali Kiba aachi nyimbo mbili mfululizo “Kimasomaso” na “Mwana Dar” zisikilize hapa!

Alikiba - Mwana Cover Done CD-1

Unaweza kusoma Profile ya Ali Kiba hapo chini

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president Jakaya Mrisho Kikwete honored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.

In 2011, Alikiba was voted as “the most...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

 

10 years ago

Michuzi

ALI KIBA NA ABDU KIBA WALIVYOWARUSHA WASHINGTON DC..WAKISINDIKIZWA NA AJ UBAO !

ALI KIBA NA MBWEMBWE ZAKE SASA
ALI KIBA NA ABDU KIBA WAKIWARUSHA


WAANDAAJI "DMK GLOBAL
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani