Misururu ya mashambulizi yatikisa Iraq
Watu 24 wameuawa katika msururu wa milipuko ya mabomu katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ObvaPuVNT2s/XnBcYz1V8UI/AAAAAAALkCA/x4JapbQET00i_juQxTseeE29Or17aTwWwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7877fed1f111m9t7_800C450.jpg)
Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-ObvaPuVNT2s/XnBcYz1V8UI/AAAAAAALkCA/x4JapbQET00i_juQxTseeE29Or17aTwWwCLcBGAsYHQ/s640/4bv7877fed1f111m9t7_800C450.jpg)
Kumekuwa na foleni ndefu huku wasafiri wakisubiri kwa saa kadhaa kukaguliwa kabla ya kupita kwenye ofisi za forodha.
Awali, Makamu Rais wa Marekani Mike Pence amesema kuwa Uingereza na Ireland Jumanne zitaongezwa kwenye orodha ya nchi zilizopigwa marufuku kuingia nchini humo pamoja nchi zingine za...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Ebola yatikisa Kenya
![Shirika la Afya Duniani](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/WHO.jpg)
Shirika la Afya Duniani
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.
Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.
Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...
10 years ago
Habarileo16 Dec
Chadema yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Ebola yatikisa Moshi
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s72-c/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
CHADEMA YATIKISA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s640/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vXBvKUW6B1A/VXK3N_6krGI/AAAAAAAAPDU/aZrIb2vvaE4/s640/11287426_957148724319148_1226527036_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VGlSb0QeynQ/VXK5GG5vSkI/AAAAAAAAPD4/9zSfUqYHvaI/s640/11357252_386915751497727_3608413603589319620_o.jpg)