Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misururu ya mashambulizi yatikisa Iraq

Watu 24 wameuawa katika msururu wa milipuko ya mabomu katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127

Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq

Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq

Rais Obama ametetea mashambulizi dhidi ya wanapiganaji wa kiisilamu nchini Iraq akisema yanapania kulinda maslahi ya wamerekani.

 

5 years ago

Michuzi

Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi

Ghasia zimeshuhudiwa katika viwanja vya ndege vya Marekani wakati ambapo hatua mpya za ukaguzi kwa sababu ya virusi cha Corona zinaanza kutekelezwa dhidi ya watu wanaorejea nchini humo kutoka Ulaya.

Kumekuwa na foleni ndefu huku wasafiri wakisubiri kwa saa kadhaa kukaguliwa kabla ya kupita kwenye ofisi za forodha.

Awali, Makamu Rais wa Marekani Mike Pence amesema kuwa Uingereza na Ireland Jumanne zitaongezwa kwenye orodha ya nchi zilizopigwa marufuku kuingia nchini humo pamoja nchi zingine za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi

Wasafiri kutoka Ulaya wanapanga foleni kwa saa kadhaa kukaguliwa baada ya kuanzishwa kwa hatua mpya za kupambana na Corona

 

10 years ago

Mtanzania

Ebola yatikisa Kenya

Shirika la Afya Duniani

Shirika la Afya Duniani

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.

Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema yatikisa Tarime

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ebola yatikisa Moshi

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA YATIKISA ARUSHA

 Profesor Jay akihamsisha wananchi kujitokeza kwenda kujiandikisha "NDUGU ZANGU WANA WA ARUSHA NA TANZANIA KWA UJUMLA TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA ILI TUJIHAKIKISHIE UHURU WA KWELI NA SIO MATUMAINI" Mbuge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari amewataka watanzania kutambua muda wa mateso waliyoyapata kwa Miaka Mingi sasa yamefikia ukomo,"Njia pekee iliyobaki ndugu zangu ni kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura" Pia ametambulisha AMBULANCE 2 alizo zitoa kwenye jimbo lakeMbuge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani