Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi

Ghasia zimeshuhudiwa katika viwanja vya ndege vya Marekani wakati ambapo hatua mpya za ukaguzi kwa sababu ya virusi cha Corona zinaanza kutekelezwa dhidi ya watu wanaorejea nchini humo kutoka Ulaya.

Kumekuwa na foleni ndefu huku wasafiri wakisubiri kwa saa kadhaa kukaguliwa kabla ya kupita kwenye ofisi za forodha.

Awali, Makamu Rais wa Marekani Mike Pence amesema kuwa Uingereza na Ireland Jumanne zitaongezwa kwenye orodha ya nchi zilizopigwa marufuku kuingia nchini humo pamoja nchi zingine za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Viwanja vya ndege Marekani vyashuhudia wimbi la misururu mirefu ya ukaguzi

Wasafiri kutoka Ulaya wanapanga foleni kwa saa kadhaa kukaguliwa baada ya kuanzishwa kwa hatua mpya za kupambana na Corona

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)

Fastje2

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.

Fastjet3

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE

SHIRIKA la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD lazindua mfumo mpya wa kisasa wa usimamizi wa mizigo kwenye viwanja vyake vya ndege

Etihad-Airways-Boeing-787-set-to-fly-to-five-further-destinations-in-2016

Shirika la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

 Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

5 years ago

Michuzi

Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona

Meya wa Washington DC, Muriel Bowser huko Marekani usiku wa kuamkia leo ametangaza hali ya hatari katika mji huo baada ya kuenea wimbi la maambukizi ya virusi hatari vya corona.

Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, wakuu wa jiji la Washington DC wametangaza hali ya hatari katika jiji hilo na kupiga marufuku mikusanyiko ya watu wanaozidi elfu moja.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi za maafisa wa afya wa Marekani, hadi hivi sasa zaidi ya watu elfu moja na mia moja wameambukizwa virusi vya corona...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'

Maafisa wa afya wa ngazi ya juu wa nchini Marekani wameonya wimbi jipya la maambukizi ya corona.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hakuna vifaa vya kugundua ‘unga’ viwanja vya Ndege’

 Mwakilishi wa Viti Maalumu, Marina Joo Tomasi amesema Uwanja wa Ndege wa Zanzibar, hauna mashine za kutambua dawa za kulevya na akaitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuachana na kujenga vituo kurekebisha tabia na badala yake wazidishe ulinzi bandarini na kwenye viwanja vya ndege.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege

Abiria wanaosafiri katika viwanja kadhaa vya ndege vya Uingereza sasa watahitajika kuvalia barakoa na glavu kwa sababu ya maradhi ya Covid- kumi na tisa

 

10 years ago

Dewji Blog

Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege

Ebola - 4

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

 Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani