Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZSPJSna_Jic/XmouUePTI6I/AAAAAAALixg/-U3Pdy99Mrsp-Rxcx9MdNgloSKTFTL2IQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7fac59541c91m71u_800C450.jpg)
Meya wa Washington DC, Muriel Bowser huko Marekani usiku wa kuamkia leo ametangaza hali ya hatari katika mji huo baada ya kuenea wimbi la maambukizi ya virusi hatari vya corona.
Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, wakuu wa jiji la Washington DC wametangaza hali ya hatari katika jiji hilo na kupiga marufuku mikusanyiko ya watu wanaozidi elfu moja.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi za maafisa wa afya wa Marekani, hadi hivi sasa zaidi ya watu elfu moja na mia moja wameambukizwa virusi vya corona...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Virusi vya corona: Wimbi la pili la corona likoje na linaweza kutokea vipi?
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona:Bosi wa Amazon azoa bilioni 24 kutokana na mlipuko wa virusi
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi