Simba yampiga pini kapombe
![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qc2N7O8h5NL-NgXNmZfnOINByUQd8VEUY7jwb03WFD25D50nmOs4KFX0i0HeUzuvkMBitwu5U8U*dOre*WWw2ox/SIMBA.jpg?width=650)
Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu TAARIFA za beki Shomari Kapombe kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC zimetibua mambo na Simba imeamua kuanika mkataba wake. Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa ambayo Kapombe anaichezea, ilisema imepata taarifa za mchezaji huyo kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC na wakala wake, Denis Kadito anayeishi nchini Uholanzi akalithibitisha hilo. Lakini uchunguzi wa Championi Jumatano...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIiPj1MydQhba3n9ZqYHEx2pExu9XvffUA-q0F*z4Kp9DahzrJ22Rg*1lDQVymv3tzsX7voZ86II8SSQbmyeuU6/simba.jpg?width=650)
Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhC4s6J41IWGPHgjpYq5xKZQkEXCvonzg5bL9j2aLJtDAa860cKpfbYcWz4d5vsAEVdVBRZm60QAOJGjKiN0dQP/LOGA.jpg?width=650)
Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Justin Beiber: Pini zake zamrudisha Selena
HAKUNA uhusiano ambao ulipendeza kwa watu maarufu hasa kwenye tasnia ya muziki nchini Marekani kama ilivyo kwa Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.
Uhusiano wao ulipendeza kutokana na wawili hao kuwa na umri mdogo huku wakifanya vizuri katika muziki, walianza kuwa katika uhusiano mwaka 2007 ambapo Chris aliachia wimbo wake ambao ulijulikan kwa jina la ‘With You’ Baada ya Chris kuachia wimbo huo, Rihanna alikuwa hana jinsi kwa kuwa ulimgusa sana na kushindwa kuzuia hisia zake na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKto75Soh3cdMRjM10Cpyz6ZOkEudx7nUn1aoA6tkOnaxOTLJOMbufl-1Yq-IOzDwfLqrkkRX*XXh012ykPkOgdUE/Kapombe.jpg?width=650)
Kapombe wa Yanga
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Samata amtetea Kapombe
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
TPB yampiga jeki Mwakyembe
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amepokea hundi ya sh milioni tano kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Wilaya ya Kyela walioathirika na mafuriko...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Kapombe: Maslahi yamenirudisha nyumbani
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam