Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Justin Beiber: Pini zake zamrudisha Selena

justin-bieber-and-selena-gomezHAKUNA uhusiano ambao ulipendeza kwa watu maarufu hasa kwenye tasnia ya muziki nchini Marekani kama ilivyo kwa Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.

Uhusiano wao ulipendeza kutokana na wawili hao kuwa na umri mdogo huku wakifanya vizuri katika muziki, walianza kuwa katika uhusiano mwaka 2007 ambapo Chris aliachia wimbo wake ambao ulijulikan kwa jina la ‘With You’ Baada ya Chris kuachia wimbo huo, Rihanna alikuwa hana jinsi kwa kuwa ulimgusa sana na kushindwa kuzuia hisia zake na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Justin Beiber awakimbia mapaparazi

NA BADI MCHOMOLO

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Justin Beiber, amesema kwa sasa atakuwa mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wanatangaza habari ambazo haziko sahihi.

Beiber amesema kuna wakati anakuwa na wakati mgumu wa kujibu maswali ya waandishi wa habari kwa kuwa anakutana nao mara kwa mara.

“Kwa sasa naona bora nikae mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wananichosha, kila nikikutana nao wananiuliza maswali na kuna wakati mwingine nashindwa kuongea lolote kutokana na maswali...

 

9 years ago

Mtanzania

Selena Gomez: Bado nampenda Justin Bieber

SelenaNEW YORK, MAREKANI

MWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Selena Gomez, ameibuka na kudai kwamba bado anampenda aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwanamuziki wa RnB, Justin Beiber.

Wawili hao walianza uhusiano mwaka 2011, lakini miaka mitatu baadaye waliachana.

Hata hivyo, japokuwa wameachana, lakini mrembo huyo amesisitiza kuwa ataendelea kumpenda msanii huyo kwa kuwa alimzoea na wamekuwa wote tangu wakiwa wadogo.

“Siwezi kuzuia hisia zangu kwa Beiber, nitaendelea kumpenda milele kwa kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Justin Bieber Feat. Selena Gomez — Strong

Drake amekuwa anazindua kazi mpya kila baada ya wiki za wasanii mbalimbali kupitia radio yake ya OVO Sound Radio kupita Beats 1 ya Dr. Dre kutoka episode mpya ya radio hiyo producer mwenye jina ‘Nineteen85’ alivujisha collabo ya wimbo mpya ya Justin Bieber na mpenzi wake wa zamani Selena Gomez ambao unaitwa “Strong”. Jiunge na […]

 

9 years ago

GPL

SELENA GOMEZ, JUSTIN BIEBER KURUDIANA KWA KOLABO!

Mastaa wa muziki waliowahi kuwa wapenzi Selena Gomez na Justin Bieber. Hollywood, Marekani MASTAA wa muziki waliowahi kuwa wapenzi wenye mvuto zaidi kabla ya kumwagana kiroho mbaya huku kila mmoja akimsemea mbofumbofu mwenzake, Selena Gomez na Justin Bieber, hivi karibuni wamewashangaza mashabiki wao baada ya kuvuja kwa wimbo wao wa kushirikiana ‘kolabo’ ambao una ujumbe mzito wa mapenzi kiasi cha kuzua hisia kuwa wawili...

 

11 years ago

GPL

Simba yampiga pini kapombe

Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za beki Shomari Kapombe kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC zimetibua mambo na Simba imeamua kuanika mkataba wake. Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa ambayo Kapombe anaichezea, ilisema imepata taarifa za mchezaji huyo kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC na wakala wake, Denis Kadito anayeishi nchini Uholanzi akalithibitisha hilo. Lakini uchunguzi wa Championi Jumatano...

 

10 years ago

Mwananchi

Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja

Kanuni na sheria mpya zilizopitishwa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) na lile la Afrika (CAF) zimemlazimu kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja kurudi darasani ili aongeze ujuzi wa fani ya ukocha aliyoianza mwaka jana. Kaseja ambaye hajaonekana muda mrefu kwenye mechi za Ligi Kuu inayoendelea kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na klabu yake ya Yanga, alipata elimu yake ya awali kwenye fani hiyo mwaka jana mjini Morogoro chini ya mkufunzi Meja mstaafu Abdul Mingange.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Selena Gomez — Same Old Love

Mwanamuziki Selena Gomez ameachia video mpya ya wimbo “Same Old Love”. Video yake imeongozwa na director Micheal Haussman. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

UNENE WAMTESA SELENA GOMEZ

Staa wa muziki wa Pop, Selena Gomez. NEW YORK, MAREKANI WAZUNGU bwana! Staa wa muzikiwa Pop, Selena Gomez ameendelea kuteswa na unene ulioongezeka kwa muda mfupi huku mitandao ya kijamii ikimshambulia. Staa huyo aliyekuwa mpenzi wa staa mwenzake wa muziki, Justin Bieber kupitia ukurasa wake wa Instagram, mashabiki wake wengi wameonekana kukerwa na unene huo jambo linalomnyima usingizi staa huyo. Kabla hajaongezeka… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani