Kapombe: Maslahi yamenirudisha nyumbani
Bado kuna ubishi mwingi kwa mashabiki wa soka kuhusu ubora wa mabeki wa pembeni wanaocheza Ligi Kuu Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Yl5Ci4-pe6P90otyLo0w68MuV0BsdWkEXNUPVhPJCs5Eh*8BB6lXVxJIVrgKwTnPmY4qykBXXzanBvhwqhCTjxA/kapombe.jpg?width=600)
Kapombe: Naumwa, nipo tu nyumbani Moro
Beki aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
BEKI aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe, amesema ameshindwa kufanya mazoezi kwa kuwa amekuwa akisumbuliwa na malaria mara kwa mara. Awali beki huyo alikuwa akicheza Simba na alikwenda kuichezea AS Cannes lakini amesema kwa sasa anatumia muda wake mwingi akiwa Morogoro akijiuguza. Akizungumza na Championi Ijumaa, beki huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKto75Soh3cdMRjM10Cpyz6ZOkEudx7nUn1aoA6tkOnaxOTLJOMbufl-1Yq-IOzDwfLqrkkRX*XXh012ykPkOgdUE/Kapombe.jpg?width=650)
Kapombe wa Yanga
Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BAADA ya chenga za hapa na pale, kila kitu sasa kimewekwa hadharani kwamba beki wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, ametaka mkataba wake na AS Cannes ya Ufaransa uvunjwe na imeelezwa anataka kubaki nchini na kujiunga na Yanga. Habari za uhakika kutoka ndani ya AS Cannes nchini Ufaransa na kuthibitishwa na wakala wake anayeishi nchini Uholanzi, zimeeleza Kapombe amefanya mazungumzo na Yanga...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Samata amtetea Kapombe
Mshambuliaji wa TP Mazembe na Tanzania, Mbwana Samata amesema watu wasiwe mahiri wa kuwalaumu wachezaji wanaorudi nchini kutoka nje ya nchi kwa majaribio kwani kuna mambo mengi magumu ambayo hayavumiliki.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam
Baada ya kuwapo kwa taarifa za uhakika za beki Shomari Kapombe kujiunga Azam FC, kocha wa zamani wa Taifa Stars ametetea uamuzi wa mchezaji huyo kuwa amefanya uamuzi sahihi na muda mwafaka.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qc2N7O8h5NL-NgXNmZfnOINByUQd8VEUY7jwb03WFD25D50nmOs4KFX0i0HeUzuvkMBitwu5U8U*dOre*WWw2ox/SIMBA.jpg?width=650)
Simba yampiga pini kapombe
Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za beki Shomari Kapombe kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC zimetibua mambo na Simba imeamua kuanika mkataba wake. Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa ambayo Kapombe anaichezea, ilisema imepata taarifa za mchezaji huyo kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC na wakala wake, Denis Kadito anayeishi nchini Uholanzi akalithibitisha hilo. Lakini uchunguzi wa Championi Jumatano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3es23XbS7*OlceTWAgo*a9im3pZWnHT-lZYresjt1g13GXdpBpGkk6kTLgj3GLkNmR9VUbYncIv3Tgz61tJmrR/AZAM2.jpg?width=650)
Azam yamtangaza rasmi Kapombe
Kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
KLABU ya Azam, jana ilimtangaza rasmi kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe kuwa msimu ujao atavaa jezi zao.
Kapombe aliondoka Simba na kujiunga na timu ya Daraja la Nne ya Ufaransa, As Cannes, lakini mwishoni mwa mwaka jana alitua nchini kuichezea Taifa Stars, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kugoma kurudi tena Ufaransa. Kapombe alizungumza mambo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIiPj1MydQhba3n9ZqYHEx2pExu9XvffUA-q0F*z4Kp9DahzrJ22Rg*1lDQVymv3tzsX7voZ86II8SSQbmyeuU6/simba.jpg?width=650)
Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe
Shomari Kapombe. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Simba SC, imesema inasubiria mamilioni ya fedha kutoka kwa Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa kutokana na mauzo ya Shomari Kapombe kwa Azam FC. Simba ilimpeleka nyota huyo Ufaransa mwaka jana, kwa makubaliano maalum, kuwa iwapo timu hiyo itafanikiwa kumuuza nyota huyo ndani ya miaka mitatu, basi wataambulia asilimia 40 za mauzo hayo huku 40 nyingine zikiliwa na Cannes wakati 20...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*UftQCjwuosBaR*WsdC9tGWSa1xjckxcFw76Xxz7KSnCUqm2opL4eA5XXChB485EsIwI7iDJ3sdjr4pIYhOai3Z/kabombe.jpg?width=650)
Shomari Kapombe atangaziwa kifungo
Na Hans Mloli
KLABU ya AS Cannes ya Ufaransa imetangaza kuwa kama itaona suala la utovu wa nidhamu linaendelea kwa beki wake, Shomari Kapombe, basi itamfungia mara moja. AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, imeonyesha kuchoshwa na danadana kuhusiana na Kapombe. Lakini wakati ikitangaza hali hiyo, taarifa zinaeleza Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limeingilia suala hilo.
Mmoja wa maofisa wa AS...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhC4s6J41IWGPHgjpYq5xKZQkEXCvonzg5bL9j2aLJtDAa860cKpfbYcWz4d5vsAEVdVBRZm60QAOJGjKiN0dQP/LOGA.jpg?width=650)
Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba
Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BEKI wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, amemtaja Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic kuwa sababu mojawapo ya kushindwa kurudi Simba kufanya mazoezi na badala yake kujiunga na Azam.
Kapombe alisajiliwa na AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, lakini alirejea nchini kuichezea timu ya taifa kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kuanzia hapo amegoma kurudi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania