Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shomari Kapombe atangaziwa kifungo

Na Hans Mloli
KLABU ya AS Cannes ya Ufaransa imetangaza kuwa kama itaona suala la utovu wa nidhamu linaendelea kwa beki wake, Shomari Kapombe, basi itamfungia mara moja. AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, imeonyesha kuchoshwa na danadana kuhusiana na Kapombe. Lakini wakati ikitangaza hali hiyo, taarifa zinaeleza Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limeingilia suala hilo.
Mmoja wa maofisa wa AS...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASOGANGE ATANGAZIWA NDOA SAUZI

Stori: Musa Mateja Modo Agnes Masogange ameonekana kumdatisha mwanaume aliyefahamika kwa jina la Louis Donald wa nchini Afrika Kusini baada ya jamaa huyo kuposti mtandaoni picha tofauti akiwa amepozi kimahaba na Agnes na kueleza kuwa, huyo ndiye mke wake wa kufa na kuzikana. Modo Agnes Masogange. Jamaa huyo amekuwa akieneza habari kuwa, Masogange ni ‘mtu’ wake kitendo kilicholifanya Ijumaa ambalo awali lilikuwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

IN LOVING MEMORY OF MAMA ROSE SHOMARI

mama-shomari1-4It is December 7, 2014 and 9 years since you departed our dear Mother but your soul still lives, lives on in a higher plane. As another year comes around , the lonely hours of thinking are ever near. You will always be remembered by your sons Mbwana, Franco, Terry, Sunday and your beloved daughter Mwanahija and Lulu also your grand kids Hamisi, Kisaka, Siwa, Rose, Talia, Terry Jr, Mervin, Rose and Ernest. We thank God for your wonderful care, parenthood, your advice, your great smile and...

 

10 years ago

Vijimambo

ROSE SHOMARI ASHEHEREKEA BIRTHDAY YAKE TA TATU

Rose 1Mtoto Rose Shomari akisherekea miaka mitatu ya kuzaliwa kwake huko Silver spring Md Jumamosi Aprili 4,2015.Hongera baby Rose.

 

10 years ago

Vijimambo

UBATIZO NA BASH LA KUZALIWA MTOTO ERNEST SIMBA SHOMARI

Wasimamizi wa Ernest Pius Mutalemwa na Harrieth Shangarai pamoja na wazazi na mapadre Munishi na Shao wakimbatiza mtoto Ernest huko Baltimore Md Jumapili Mei 31,2015 katika kanisa la Mt.Edwards.Padre Honest Munishi akiwa na wazazi na wasimamizi kwenye ubatizo. Wazazina wasimamizi.
Nikisoma somo. Wazazi na mtoto Ernest. Rose. Ernest akimwona Mickey Mouse Live kwa mara ya kwanza na kubadilishana nae mawazo. "Three The Hard Way" The Manase's. Brian akipiga kinanda. Cd na familia. "Menyu". ...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Sunday Shomari atia baraka ndani ya Ofisi za MMG

IMG_0590Mdau Sunday Shomari akiwa na Ankal wakati alipotembelea ndani ya ofisi Michuzi Media Group (MMG) mara tu baada ya kuwasili jijini Dar es alaam. IMG_0594

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Sunday Simba Shomari aadhimisha miaka mitatu ya ndoa

Leo ni mwaka wa tatu tangu niingie kwenye klabu hii ya wajanja na kuaga ukapela kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa mke bora na familia njema , pia naomba aendelee kutoa Baraka zake kwa familia yetu daima na tusonge mbele na safari Empress wangu pendo la moyo wangu.Mungu ndiye kiongozi wetu. Amina - Sunday Simba Shomari

 

10 years ago

GPL

MTANGAZAJI SUNDAY SHOMARI WA VOA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO

Mtangazji wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika (VOA), Sunday Shomari akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Sunday Shomari akiwa katika pozi na wahariri wa Magazeti ya Global…

 

9 years ago

Michuzi

JK aomboleza kifo cha Kanali (mst) Ayubu Shomari Mohamed Kimbau

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuombeleza kifo cha mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Jimbo la Mafia, Mkoa wa Pwani, Kanali (mst) Ayubu Shomari  Mohamed Kimbau, ambaye aliaga dunia asubuhi ya leo,  Jumapili, Agosti 30, 2015 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Katika salamu za rambirambi alizomtumia Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Eng. Evarist Ndikilo, Rais...

 

11 years ago

GPL

Kapombe wa Yanga

Shomari Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BAADA ya chenga za hapa na pale, kila kitu sasa kimewekwa hadharani kwamba beki wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, ametaka mkataba wake na AS Cannes ya Ufaransa uvunjwe na imeelezwa anataka kubaki nchini na kujiunga na Yanga. Habari za uhakika kutoka ndani ya AS Cannes nchini Ufaransa na kuthibitishwa na wakala wake anayeishi nchini Uholanzi, zimeeleza Kapombe amefanya mazungumzo na Yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani