Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ROSE SHOMARI ASHEHEREKEA BIRTHDAY YAKE TA TATU

Rose 1Mtoto Rose Shomari akisherekea miaka mitatu ya kuzaliwa kwake huko Silver spring Md Jumamosi Aprili 4,2015.Hongera baby Rose.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IN LOVING MEMORY OF MAMA ROSE SHOMARI

mama-shomari1-4It is December 7, 2014 and 9 years since you departed our dear Mother but your soul still lives, lives on in a higher plane. As another year comes around , the lonely hours of thinking are ever near. You will always be remembered by your sons Mbwana, Franco, Terry, Sunday and your beloved daughter Mwanahija and Lulu also your grand kids Hamisi, Kisaka, Siwa, Rose, Talia, Terry Jr, Mervin, Rose and Ernest. We thank God for your wonderful care, parenthood, your advice, your great smile and...

 

11 years ago

Dewji Blog

Filamu ya Espinho da Rosa “the Thorn of the rose” yatwaa tuzo tatu tamasha la 17 la ZIFF 2014

DSC_0987

Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY  de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu...

 

11 years ago

GPL

FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014‏

Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond...

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE NA WANAFUNZI

Miss Tanzania wa sasa, Lilian Kamakazi Miss Tanzania wa sasa, Lilian Kamakazi (pichani juu na chini) akiwa na wanafunzi wa shule ya Shalom ya Njiro, Arusha. Miss Tanzania wa sasa, Lilian Kamakazi, leo ni siku yake ya…

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake

Tyga and Kylie

Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.

Tyga and Kylie

Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.

Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.

Vyanzo vingine vimesema...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani