Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake

Dogo Janja a.k.a Janjaro amezawadiwa gari katika siku ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Sept 15. Zawadi hiyo ya gari imetoka kwa Madee ambaye ndiye mlezi wake kimuziki kwa muda mrefu. Dogo Janja ambaye sasa amefikisha miaka 21 ameshare picha Instagramakikabidhiwa gari hiyo. “Muwakilishi Wa Mshua Alikuwa @dicksound1 Tajiri Yangu,Moja Ya Watu Wa Karibu […]

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake

Tyga and Kylie

Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.

Tyga and Kylie

Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.

Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.

Vyanzo vingine vimesema...

 

9 years ago

Bongo5

Mo Music kuachia single mpya ‘Skendo’ kwenye birthday yake Nov.14

Mo Music skendo

Msanii aliyewashtua mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kwa single yake ya kwanza ‘Basi Nenda’ mwaka jana, ambayo ilikuja kuwa kama ‘wimbo wa taifa’ kwa jinsi ilivyokubalika, Mo Music anarudi na single mpya iitwayo ‘Skendo’.

Mo Music skendo

Novemba 14 ni birthday ya mwimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Moshi Katemi kutoka Mwanza, na ndio ameichagua kuwa siku ya kuiachia single hiyo ya tano baada ya ‘Nitazoea’.

‘Skendo’ imeandikwa na kutayarishwa na producer Lollipop ambaye ndiye aliyehusika na uandishi...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ SEIF ANAWAALIKA KWENYE BIRTHDAY YAKE JUMAMOSI HII SAFARI CLUB

 Dj Seif kotoka Maryland, USADj Seif anawaalika wadau wote siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 kwenye Bash ya siku yake ya kuzaliwa itakayofanyika Safari Club kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 9 alfajiri

Kufika kwako ndio kufanikisha Bash hii itakayokufanya kumalizia wiki ya Thanksgiving kwa bash la nguvu ndani ya kiota kinachoongoza Afrika mashariki kilichopo Washington, DC anuani ni 4306 Georgia Av, NW, Washington, DC 20011

KARIBUNI

 

11 years ago

CloudsFM

SHETA AOGESHWA MAJI YA UKOKO SIKU YAKE YA KUZALIWA

Staa wa Bongo Fleva,Sheta alijikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya ukoko na wasanii wenzake siku ya kuzaliwa kwake jana.Kisanga hicho kilimkumba jana wakati alipohudhulia futari iliyoandaliwa na Tanzania House of Tatent(THT)baada ya watu kufuturu nay eye kuingia ndipo walipomuita pembeni kama wanaongea naye kilichotokea hapo ni kumwagiwa maji ya ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani