SHETA AOGESHWA MAJI YA UKOKO SIKU YAKE YA KUZALIWA
Staa wa Bongo Fleva,Sheta alijikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya ukoko na wasanii wenzake siku ya kuzaliwa kwake jana.
Kisanga hicho kilimkumba jana wakati alipohudhulia futari iliyoandaliwa na Tanzania House of Tatent(THT)baada ya watu kufuturu nay eye kuingia ndipo walipomuita pembeni kama wanaongea naye kilichotokea hapo ni kumwagiwa maji ya ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s72-c/hb2.jpg)
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s640/hb2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9nyGk1LZxy4/VhWYyD2G1JI/AAAAAAAH9g8/1tc5zQx64yk/s640/hb3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upfQJLV-QMY/VhWZKBFYW_I/AAAAAAAH9hU/qDD8_TCm2-8/s640/hb4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fwDVhxLt46o/VhWZgzejnAI/AAAAAAAH9hc/xkNp5jsur54/s640/hb5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cAvmJS0zLoE/VhWZ1TyavCI/AAAAAAAH9hs/xj56jVnK9HA/s640/hb7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/01/IMG-20140115-WA0073.jpg?width=480)
H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
10 years ago
GPLWEMA SEPETU ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
10 years ago
GPLNASRA WA GLOBAL ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
10 years ago
Vijimambo20 Jan
ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
11 years ago
Dewji Blog05 May
Shy Rose Bhanji asherehekea siku yake ya kuzaliwa
![Untitled 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Untitled-11.jpg)
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Bweni Dar es Salaam. (Photos by: MD Digital Company +255 755 373999).
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhqTEDSGnAU/U2chNFGgkhI/AAAAAAAATmU/BFNqlwXbm9g/s1600/IMG-20140504-WA0002.jpg)
Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki…
![](http://1.bp.blogspot.com/-LE4B1kb4Mig/U2chNA-75LI/AAAAAAAATmQ/5kLYDP7wGrI/s1600/IMG-20140504-WA0003.jpg)
Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ester...
9 years ago
Bongo514 Nov
Stamina asherehekea siku yake ya kuzaliwa na wimbo mpya ‘Mr Bonventure’
![12237338_1516367548673634_1513271570_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237338_1516367548673634_1513271570_n-300x194.jpg)
Rapper Stamina Jumamosi hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuachia wimbo mpya uitwao Mr Bonventure unaoelezea historia ya maisha yake kama bonus kwa mashabiki wake.
Stamina ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili mashabiki wajue ni jinsi gani walivyobadili maisha yake.
“Nashukuru Mungu, media pamoja na mashabiki wangu. Huu wimbo niliotoa ni kwa ajili yao kama bonus track, unaelezea maisha yangu kwa ujumla na kazi yangu official itatoka hivi karibuni. Kwahiyo wimbo tayari upo...