Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake
Dogo Janja a.k.a Janjaro amezawadiwa gari katika siku ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Sept 15. Zawadi hiyo ya gari imetoka kwa Madee ambaye ndiye mlezi wake kimuziki kwa muda mrefu. Dogo Janja ambaye sasa amefikisha miaka 21 ameshare picha Instagramakikabidhiwa gari hiyo. “Muwakilishi Wa Mshua Alikuwa @dicksound1 Tajiri Yangu,Moja Ya Watu Wa Karibu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM29 Sep
DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja
10 years ago
Bongo527 Dec
Madee atoa sababu ya kubadili ratiba ya ujio mpya wa Dogo Janja
9 years ago
Bongo517 Sep
Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
9 years ago
Bongo527 Aug
Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsDIU8Y-KN*Ib8Si8M1xmpAxTUtUoxUvhYBpteKZ9no1sCyxFDwrJgNpub9tKdjaL4GkT5VnWiqXfqBEynvrqrV/gari.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...